mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,274
- 6,257
Vyote ninavyomkuu issue fiber ina siku kama nne au tano inanisumbuaUmeachana na fiber???
Hapo unetishaVyote ninavyomkuu issue fiber ina siku kama nne au tano inanisumbuaView attachment 2839849
Package ya fiber au Airtel mkuu?Hapo unetisha
Ni package gani unayotumia?
Airtel namaanisha ulitumia leseni au ulitoa 270K?Package ya fiber au Airtel mkuu?
Nilitumia tin na kitambulisho cha kazi so wakaniwekea cha busness kile cha 110k aaah 270k usawa huu ni kuchezea pesa mkuu wakati hii ni aternative tu...me na deal zangu na fiber...kikiisha kifurushi na hii router naiunga na router ya fiber zisaidiane kupiga kazi..Airtel namaanisha ulitumia leseni au ulitoa 270K?
Basi utalazimika kulipia 110K kila mwezi maana cha 70K hakipo kwa watu waliotumia leseniNilitumia tin na kitambulisho cha kazi so wakaniwekea cha busness kile cha 110k aaah 270k usawa huu ni kuchezea pesa mkuu wakati hii ni aternative tu...me na deal zangu na fiber...kikiisha kifurushi na hii router naiunga na router ya fiber zisaidiane kupiga kazi..
Mbona iko poa kwa i signal light huko imefifia?Samahani wakuu hivi leo Airtel internet haiko sawa?? Au ndio visa vimeanza
Kabisa kakaMjini mipango mkuu wacha uungwe leo kesho ujikute net hakuna
Ilisumbua kwa mda sasa imekaa sawa kakaMbona iko poa kwa i signal light huko imefifia?
Uki login administrator panel network bar zinasoma ngapi?
Mimi iko poa tuView attachment 2839918
Hivi nisipolipia watanitafuta? Manaake me lengo langu ni hiyo router ni share na router ya fiber...but yuule dada alisema eti baada ya miez mitatu nitaweza kulipia cha 70k.kwenu ipoje huko?Basi utalazimika kulipia 110K kila mwezi maana cha 70K hakipo kwa watu waliotumia leseni
Upo Dar au??Chagua moja kunyoa au kusuka...wazee hawa airtel ni moto wa mbaliiii.huku nilipo hakuna 5g kuna 4g tu lakini speed yake ya 30mbps kwa fiber ya 20mbps ...jibu ni kwamba huyu fiber akasomee mbaliii sasa mnaopata 5g sijui mnaenjoy vipi aiseee kama mimi tu wa 4g nafurahia maisha nyiee mtakuwa mmeyapatia [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2960]View attachment 2838418
Kwa sasa ni dar tu mikoani badoNaomba kuuliza wadau ivi hizi Router za 5G ZA Airtel zinapiga kazi mikoani au ni kwa Dar tu??? Kuna jamaa yangu yupo Ifakara anataka kuchukua... Scars Chief-Mkwawa Lax Charles kilian
Kuna yule jamaa wa zenji aliifata dar akaenda nayoNaomba kuuliza wadau ivi hizi Router za 5G ZA Airtel zinapiga kazi mikoani au ni kwa Dar tu??? Kuna jamaa yangu yupo Ifakara anataka kuchukua... Scars Chief-Mkwawa Lax Charles kilian
Hakuna kitu kama hichoHivi nisipolipia watanitafuta? Manaake me lengo langu ni hiyo router ni share na router ya fiber...but yuule dada alisema eti baada ya miez mitatu nitaweza kulipia cha 70k.kwenu ipoje huko?
Unaichukua tu popote pale unaitumiaNaomba kuuliza wadau ivi hizi Router za 5G ZA Airtel zinapiga kazi mikoani au ni kwa Dar tu??? Kuna jamaa yangu yupo Ifakara anataka kuchukua... Scars Chief-Mkwawa Lax Charles kilian
So far unaweza ipeleka maeneo mengine yenye Airtel 4G maana ina 5G na 4G, sijajua 3G wenye Router wanaweza tusaidiaNaomba kuuliza wadau ivi hizi Router za 5G ZA Airtel zinapiga kazi mikoani au ni kwa Dar tu??? Kuna jamaa yangu yupo Ifakara anataka kuchukua... Scars Chief-Mkwawa Lax Charles kilian
Huu ndio ukweli,Hapa mambo ya king'amuzi unasahau kabisa...
Taarifa ya habari unaingia youtube live ya itv...
Mpira unaingia yalla shoot au unadownlaod yacine tv unaendelea kustream kwa hd kabisa✅
Kimsingi dunia ya ving'amuzi inakaribia kufika kikoma...