Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Kuna yule jamaa wa zenji aliifata dar akaenda nayo
Yes, ninayo inapiga kazi fresh
Tumenunua na vingine viwili vya ziada,kimoja kipo hotelini Turian, kinapigika hasa kwa wateja na kingine tumeweka nyumbani Arusha wanatumia na hakuna chenye utata..

Cha arusha tulijaribu kukitumia kwenye safari ya dar mpaka arusha..na kimepiga kazi njia nzima na network ilikua shega.

Kukujibu nunua kinafanya kazi mikoa yote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…