Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Nunua sasa maana skuizi kifurushi cha 70 kimeliwa kichwaHizi mb zinaisha fasta,binafsi unlimited ndio naona suluhisho
Shida ni Bei ya router ni Tshs 650,000/- na haupati kifurushi bila kununua router yaoKamba zinazidi kulegezwa... sasa washuke kutoka 70,000/= mpaka 50,000/=
Wateja wenyewe ndio sisi wafanye kutugombania kwa offer nzuri.View attachment 2849126
Hicho kifurushi Cha Tshs 70,000/- kimeondolewa kabisa kwa wote au ni kwa enterprise pekee?Nunua sasa maana skuizi kifurushi cha 70 kimeliwa kichwa
Kwangu sikioniHicho kifurushi Cha Tshs 70,000/- kimeondolewa kabisa kwa wote au ni kwa enterprise pekee?
Kuna bwana mmoja ameniambia naweza kupata kwa 70000 na ikawa na ofa ya mwezi mmoja na baada ya hapo nitalipia 55000 kifurushi cha 13mb/s. UnlimitedKwangu sikioni
Malalamiko ya wadau unayaona lakini?Kuna bwana mmoja ameniambia naweza kupata kwa 70000 na ikawa na ofa ya mwezi mmoja na baada ya hapo nitalipia 55000 kifurushi cha 13mb/s. Unlimited
Anasema ni offer,ngoja nimfatilie.Ni za airtel 5G
Dah!kumbe walikua wanakilia timing wakipige chini!kwahiyo now voda na airtel vifurushi vyao vya unlimited ni vya 115000 tu!?Nunua sasa maana skuizi kifurushi cha 70 kimeliwa kichwa
Hii ni bora ninayotumia sasa,voda supa kasi kifurushi cha elfu 50 gb 28 kwa mwezi zikiisha wanapunguza speed,hata zikiisha mb na uwezo wa kiendelea kutumia,mwezi ujao nitalipia supakasi ya elfu 70 nione itakuaje
Serikali ikiona vijana tunaanza kufaidi inapata wivu sana inaamua kutuondolea loophole 🤣Dah!kumbe walikua wanakilia timing wakipige chini!kwahiyo now voda na airtel vifurushi vyao vya unlimited ni vya 115000 tu!?
Naona TTCL wanazingua mjini tu hapa wanasema hawajafika hawana vifaa vya kutosha.Kamba zinazidi kulegezwa... sasa washuke kutoka 70,000/= mpaka 50,000/=
Wateja wenyewe ndio sisi wafanye kutugombania kwa offer nzuri.View attachment 2849126
Duh kumbe router bei yake imesimama hivyoShida ni Bei ya router ni Tshs 650,000/- na haupati kifurushi bila kununua router yao
Hawa router yao ndio laki 6?Kamba zinazidi kulegezwa... sasa washuke kutoka 70,000/= mpaka 50,000/=
Wateja wenyewe ndio sisi wafanye kutugombania kwa offer nzuri.View attachment 2849126
Kwasababu ulitumia tin na leseniKwangu sikioni
Hawa ni wakuwanao makini sana wanaweza kukupa ahadi ya uongo ili mradi tu wakuungeKuna bwana mmoja ameniambia naweza kupata kwa 70000 na ikawa na ofa ya mwezi mmoja na baada ya hapo nitalipia 55000 kifurushi cha 13mb/s. Unlimited
Anasema ni offer,ngoja nimfatilie.Ni za airtel 5G
Bado tu mnakomaa na TTCL?Naona TTCL wanazingua mjini tu hapa wanasema hawajafika hawana vifaa vya kutosha.
Aliyefanikiwa kutumia hawa tigo atupe ushuhuda nijaribu kuishi humo.
Niliitaka huduma yao kwa matumizi ya nyumbani kwa sababu pia ni affordable. Lakini sijafanikiwa kuipata maana hawana hiyo miundombinu sehemu nilipo.Bado tu mnakomaa na TTCL?
Watu mna roho ngumu
Miundombinu sio excuse kwasababu wao wanafika popote kupitia nguzo za TANESCONiliitaka huduma yao kwa matumizi ya nyumbani kwa sababu pia ni affordable. Lakini sijafanikiwa kuipata maana hawana hiyo miundombinu sehemu nilipo.
Hayo ndio majibu waliyonipatia nilipowaendelea kuomba huduma yao.Miundombinu sio excuse kwasababu wao wanafika popote kupitia nguzo za TANESCO
Wale ni wavivu hawataki kutoka kwenda site tu kwasababu wana uhakika wa mishaharaHayo ndio majibu waliyonipatia nilipowaendelea kuomba huduma yao.