Bukayo Saka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 294
- 459
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utuletee mlejesho bila kusahau contactAirtel wamelekeza kamba mimi nimepata kitonga kwa 70000 hakuna gharama za routa. Kesho Mungu akijalia nalipia. Nitaleta mrejesho na mahalo nilipo chukukia na number za mhudumu. NB usitumie sellsman kupata huduma hii wafuate wakubwa ofisin uwalilie njaa[emoji41]
Connection plsAirtel wamelekeza kamba mimi nimepata kitonga kwa 70000 hakuna gharama za routa. Kesho Mungu akijalia nalipia. Nitaleta mrejesho na mahalo nilipo chukukia na number za mhudumu. NB usitumie sellsman kupata huduma hii wafuate wakubwa ofisin uwalilie njaa😎
Mkuu hiyo ni GB 60 sio GB 600Wiki ya tatu ya kutumia airtel na kifurushi cha 10mbps nimetumia gb 600
View attachment 2847960
Oya kama unaweza kuongea nao wakaniwekea kifurushi cha 70K utakuwa umetishaAirtel wamelekeza kamba mimi nimepata kitonga kwa 70000 hakuna gharama za routa. Kesho Mungu akijalia nalipia. Nitaleta mrejesho na mahalo nilipo chukukia na number za mhudumu. NB usitumie sellsman kupata huduma hii wafuate wakubwa ofisin uwalilie njaa😎
Mie nimeona majuzi nikaacha kulipia nimeona uhuni tuAirtel nao miyeyusho sana na ahadi zao za kiboya
Humu si kuna mdau alisema ameomgea na customer care wakamuambia kifurushi cha 70K kitakuwa active baada ha miezi mitatu ya kulipia
Mbona sikioni??View attachment 2848921
Kweli auAirtel wamelekeza kamba mimi nimepata kitonga kwa 70000 hakuna gharama za routa. Kesho Mungu akijalia nalipia. Nitaleta mrejesho na mahalo nilipo chukukia na number za mhudumu. NB usitumie sellsman kupata huduma hii wafuate wakubwa ofisin uwalilie njaa😎
Ni 70k unapojiunga au kuna vigezo na masharti mengine?Airtel wamelekeza kamba mimi nimepata kitonga kwa 70000 hakuna gharama za routa. Kesho Mungu akijalia nalipia. Nitaleta mrejesho na mahalo nilipo chukukia na number za mhudumu. NB usitumie sellsman kupata huduma hii wafuate wakubwa ofisin uwalilie njaa😎
Tumia Airtel sme na Airtel routerUmepata file na unatumia free internet.
Unaanza mwenye 5,000 anitafute nikupe unlimited internet file ya tigo. Unasambaza kwenye facebook na mitandao ya kijamii mingine
Wenye mitandao hawatupendi na hawataki tuwe na unafuu wwte katika kutumia internet. Mimi ni mtumiaji wa internet ila kila siku gharama za internet zinabadilika kila siku na zinakuwa ghari sana tofauti na hali halisi ya maisha ya uchumi wa mtanzania. 1000 unapata 450mb, hapa ndipo nilianza kutafuta maarifa ya kupata free internet maana hela ilikuwa inatumika sana kununua bando.
Ukipata file, jitahidi ule na kipofu
Ikoje hii mkuu.Tumia Airtel sme na Airtel router
SmeIkoje hii mkuu.
Airtel router nenda mlimani City palee zipo kibaooIkoje hii mkuu.
Hizi mb zinaisha fasta,binafsi unlimited ndio naona suluhisho
Hivi hii haiji na power bank?Kamba zinazidi kulegezwa... sasa washuke kutoka 70,000/= mpaka 50,000/=
Wateja wenyewe ndio sisi wafanye kutugombania kwa offer nzuri.View attachment 2849126
Sidhani kama ina power bankHivi hii haiji na power bank?
Hawa Airtel wamegoma kuweka kifurushi cha 70K kwa tuliounganishwa enterprisesSidhani kama ina power bank
SAfi sana tushindwe sisi tu ndugu watanzania,Kamba zinazidi kulegezwa... sasa washuke kutoka 70,000/= mpaka 50,000/=
Wateja wenyewe ndio sisi wafanye kutugombania kwa offer nzuri.View attachment 2849126