🤣🤣 ni afadhali miundo mbinu hakuna unajipa moyo kwamba hawajakupa huduma kisa miundombinu, kichwa kiwaka pale miundombinu ipo na hakuna kitu wanafanyaNiliitaka huduma yao kwa matumizi ya nyumbani kwa sababu pia ni affordable. Lakini sijafanikiwa kuipata maana hawana hiyo miundombinu sehemu nilipo.
Sim yako iñasaport 5G kwani?Line ya Airtel 5G nayotumia kwenye Router imegoma kusapoti data kwenye simu
View attachment 2849743
HapanaSim yako iñasaport 5G kwani?
So unatumia nini kama mbadala?Mie nimeona majuzi nikaacha kulipia nimeona uhuni tu
Nimechanga na wapangaji wenzangu tumelipia cha laki na 15So unatumia nini kama mbadala?
Mtandao gani?Nimechanga na wapangaji wenzangu tumelipia cha laki na 15
Airtel nimekosea hapo juu nilivo andka laki na 15 ni laki na 10 ndo tumelipiaMtandao gani?
Kwenye disk management kule inaonekana?Wakuu habari zenu. Samahan natoka nje ya mada kidogo, Nina harddisk yangu haisomi kwenye pc nikiskiliza mlio wake ni kama mashine yake kwa ndan imekwama hivi, inagonga, so anaefaham namna ya kurecover files au anafaham fundi anaeweza kunisaidia naomba anisaidie mana hapa nimekwama nimeshauliza mafundi mbalimbali ninaowajua wameniambia hiyo ni kesi ngumu
Wakuu zangu na pataje hii offerHii kweli au ? View attachment 2849871
Mkuu hii speed yake ikoje, je ni unlimited kweli. maana nipo njiani niinunue.Airtel nimekosea hapo juu nilivo andka laki na 15 ni laki na 10 ndo tumelipia
Ni unlimited kakaMkuu hii speed yake ikoje, je ni unlimited kweli. maana nipo njiani niinunue.
Sijaona model hapo mkuu, kama unayo iweke.
Mi nimeunga Fiber TTCL nimetumia mwezi tu imekata, kuja kurekebisha ni shughuli, anakuja mtu mara 1 kwa wiki 2 na akija anakupiga sound anaondoka, Tena mjini kabisa. Mitandao ya simu speed sio kama Fiber ila reliability ni uhakika, Bora ukomae na 5G kama unaweza ku afford.Naona TTCL wanazingua mjini tu hapa wanasema hawajafika hawana vifaa vya kutosha.
Aliyefanikiwa kutumia hawa tigo atupe ushuhuda nijaribu kuishi humo.
Kumbe ni mateso sanaMi nimeunga Fiber TTCL nimetumia mwezi tu imekata, kuja kurekebisha ni shughuli, anakuja mtu mara 1 kwa wiki 2 na akija anakupiga sound anaondoka, Tena mjini kabisa. Mitandao ya simu speed sio kama Fiber ila reliability ni uhakika, Bora ukomae na 5G kama unaweza ku afford.
Mi niliwaambia lakini hawa TTCL ni miyeyusho, no matter wamekufurahisha mara moja ila usiwape creditMi nimeunga Fiber TTCL nimetumia mwezi tu imekata, kuja kurekebisha ni shughuli, anakuja mtu mara 1 kwa wiki 2 na akija anakupiga sound anaondoka, Tena mjini kabisa. Mitandao ya simu speed sio kama Fiber ila reliability ni uhakika, Bora ukomae na 5G kama unaweza ku afford.
Ni wahuni sana jamaaMi niliwaambia lakini hawa TTCL ni miyeyusho, no matter wamekufurahisha mara moja ila usiwape credit
Maana watakuja kukukera mara 100
Malalamiko ya wadau unayaona lakini?
Sema yule wakala alosema ile 200k imetolewa wafanyakazi wa namna ile hawafai kabisa ofisini