Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
-
- #8,861
Pia speed 4G Yako ikikubali kufika 10mbps basi kwa router pia utapata.Simu nna 4G tu ambayo inajitahidi kidogo , nahofia kununa na device yao halafu iwe miyayusho
Natumiaga ile ya 30+ GB sa SME hainaga shida ila muda mwingine tu inaweza kuwa slow
Niko maeneo hayo na inakamata vzr sana✅View attachment 2864530
Eneo ninaloishi hata hiyo 4G hamna,mkuu bora ulivyonishtua kuangalia coverage yao kwa dar
Inakamata fresha kabisa, nipo maeneo hayo pia....Wale wa Airtel 5G Speed ipoje? 10Mbps inakuwa fresh? nipo mitaa ya mbezi luguruni airtel wanasema 5G inapatika kote Dar sasa hivi kwahyo huko hakuna shida, maana natka kuchukua hii au Voda sema voda gharama juu kidogo
Upo kwembe king'azi?Niko maeneo hayo na inakamata vzr sana✅
Unataka ujue mpaka mtaa mkuu😀😀Upo kwembe king'azi?
Kifurushi cha speed ipi hiki?Hakika Voda ni next level, hii speed sio ya mchezoView attachment 2867338
Kifurushi cha speed gan Kaka, hii speed ni next level kwa kweliHakika Voda ni next level, hii speed sio ya mchezoView attachment 2867338
Ni cha 100Mbps, japo sometimes huwa inakwenda juu randomly hadi above 300Mbps, hasa late nights.Kifurushi cha speed ipi hiki?
Na pia kwa speed hii ku stream online si fresh?Unataka ujue mpaka mtaa mkuu😀😀
Wewe jua kibamba nzima airtel mtandao uko vzr 90% ukitumia router zao..... Hizo 10% za downside ni factors ambazo ziko nje ya uwezo wao kama hali ya hewa, kama unaishi mabondeni sana nk..
Ila generaly mtandao uko vzr..
Speed test zangu zote huwa zinagota 10Mbps kwa kifurushi hiki cha 70k.
View attachment 2867410
Kifurushi cha speed ipi hiki?
Yes, 1080p na 1440p unastream bila shida yoyote...Na pia kwa speed hii ku stream online si fresh?
Hii sio fiber mkuu, ni router ya 5g ya Voda. Eneo nililopo (Kimara) napata 5G mnara fullHawa ni wateja wa Fiber mzee wapo town. Bila shaka hiyo ni net ya ofisi ambayo inaweza kuwa 400Mbps
Startimes ipo store na TBC Bure unaweza kuitest.Hivi apk ya azam tv au star time inaweza kufanya kazi kwenye android tv??
Itakua loss kwako, 4G ya Airtel Haina ubAvu wa kufika 100mbps.Hivi wakuu mtu ukichukua unlimited rya 100mbps dar afu ukaenda nayo mkoani itadeliver Kweli io speed au ndo itakuwa loss kwngu ??
Hio ping nzuri sana, unaweza ukaitest na south Africa unapata ping ngap?Hii sio fiber mkuu, ni router ya 5g ya Voda. Eneo nililopo (Kimara) napata 5G mnara full
Sent from my SM-S918B using JamiiForums mobile appView attachment 2868154
Hii hapa mkuuHio ping nzuri sana, unaweza ukaitest na south Africa unapata ping ngap?
So mchezo, almost fiber level, Zuku 55ms na haitulii sometime ina panda hadi 100 na kitu. Shukran mkuu.Hii hapa mkuuView attachment 2868881