Aaaah wapi zile zilikuwa ni siasa tuBoss kwema vipi menu ya 70k ya 10 mbps imekuja kuonekana kwako ??
Poa poa nimekutana na agent ana hivy vpya vidogo na portable akawa ananishawishi maana nimekipenda ni kizuri kwa unaebeba kila mara.. nikataka nicomfrim kwanzaAaaah wapi zile zilikuwa ni siasa tu
Sio MI-FI?Poa poa nimekutana na agent ana hivy vpya vidogo na portable akawa ananishawishi maana nimekipenda ni kizuri kwa unaebeba kila mara.. nikataka nicomfrim kwanza
Anaejua namna ha kupata/kuunga hiyo Unlimited ya Halotel reply hapa 🙏🏾Walikua na wao na Sme kwa muda mfupi Sana ghafla zimepotea, sijui walipatwa na na nini. Zinapiga simu na internet ila mfano wake ni kama hizo line za Halotel za internet unapata GB nyingi kwa gharama ndogo.
Pia wana unlimited za 4G/5G sema hizo bei ndefu 115,000 kupanda.
Mkuu ulishapat unlimited ya halotelAnaejua namna ha kupata/kuunga hiyo Unlimited ya Halotel reply hapa 🙏🏾
Hapana kaka ni kama sa mwanzo ila hii ni portable kwa wale tunaobeba kwenye begi na kwenda maeneo tofautiSio MI-FI?
Mbona size ya muonekano wake ni kama tu hii ambayo ninayo?Hapana kaka ni kama sa mwanzo ila hii ni portable kwa wale tunaobeba kwenye begi na kwenda maeneo tofautiView attachment 2968386
aah na me ndio nataka hii za kwanza tulichukua airtel shop yalikua yale zte makubwaMbona size ya muonekano wake ni kama tu hii ambayo ninayo?
Sema hii inakaribia kufanana na ZTE ya Voda
View attachment 2968408
Hii ndio ninayotumia mimiaah na me ndio nataka hii za kwanza tulichukua airtel shop yalikua yale zte makubwa
ndio na hata uzito umepunga ...Hii ndio ninayotumia mimi
Kumbe hii kwa umbo ni kubwa kuliko hizi mpya za saizi?
Uwezo pekee walionao ni kukupiga Mpunga na kutokomea. Usijaribu.Kuna hawa watu hasa instagram wanadai wanaunga bandle GB 30 kwa 15k mitandao mbali mbali. Je ni kweli wana uwezo huo
Mm pia nIitafuta hii sio kwenye site yao or social media wala agents wa halotel anajua km unlimited service ipo kwao wao wanaongelea tu GB za kununua and una top up kutokana na unavyotumiaAnaejua namna ha kupata/kuunga hiyo Unlimited ya Halotel reply hapa 🙏🏾
Mlimani city pia waliniambia bei ni elfu 5 ya data pekeeKwa urahisi zaidi nenda haloshop.
Maana hawa ma agent wa mitaani wanatamaa line ya bure wao wanataka 5000 hadi 10000.
Sharti ni moja tu ukisajili basi lazime uunge kifurushi kimojawapo kati ya hivyo kuna cha 5000 kwa 4GB wiki au hivyo vya mwezi.
Inakua ni shared ila km zone yako haina watu wengi na hakuna buffer ndio inafika mpk 10mb km maxSpeed ni fixed 10 ama 30 etc inategemea na watumiaji, kama ni 10mbps usitegemee watu wengi kutumia pamoja, maximum kama wa 5 hivi kwa mkupuo na kupata speed nzuri.
655,713,714,613,67x ,77x ni tigohivi hii namba ni mtandao gani 255613
nilijaribu kutuma fedha nikajibiwa namba sio sahihi655,713,714,613,67x ,77x ni tigo
688,78xx airtel
744,745,755 ni voda
73x ttcl
62x halotel
Umempotosha. 613 ni halotel ninayo hapa.655,713,714,613,67x ,77x ni tigo
688,78xx airtel
744,745,755 ni voda
73x ttcl
62x halotel
Thank for correction mateUmempotosha. 613 ni halotel ninayo hapa.
Wanayo 062 na
061.