Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Habari, wakuu mimi baba mwenye familia, nimepata ajali mbaya now nipo nyumbani najiuguza, watoto shule wanafungua tar 1

Ninaomba kwa mwenye connection ya watu mitandao walio kweny system nisaidiwe namna au laini yenye uwezo wa kurusha ana kuuza vifurushi vya internet MBs na Gb,

Ili angalau niweze kupata hata kidogo mahitaji ya familia nipunguze ukali wa maisha maana utawagemea ndugu wakupe msaada mpka lini wameshanichoka nao wana majukumu yao. Natanguliza shukrani,, Karibuni PM wakuu kwa mengi zaidi.
Pole sana mkuu,Mwenyezi Mungu atakufanyia wepesi katika hayo unayopitia Inshallah
 
Wakuu msaada nimenunue vocha ya 300,000 bahati mbaya kupitia NBC app badala ya kutuma kama pesa ya kawaida

Kuna namna yoyote naweza kuipeleka sehemu nipate cash? hata kwa hasara fulani hivi

Ikishindikana kabisa ntakuwa najiungia tu bundle za mwezi za airtel hizi unlimited ila sina mipango mirefu hivyo kwasasa, mwenye idea nitashukuru
Peleka kwa wanaorusha vocha, ukiwapa deal zuri wanachukua hio vocha,
 
Vodacom sme
Screenshot_20240702-081234~2.png
 

Attachments

  • Screenshot_20240702-081718.png
    Screenshot_20240702-081718.png
    101.3 KB · Views: 14
Wakuu mtu akitaka huduma hii anichekinni free of charge awe naizo requirements tu atajinunulia mwenyewe tu bundle lake 0753207909

SME BUNDLE REQUIREMENTS;

Individual :

1.Tin Certificate
2.ID(Nida,Voter or Driving License)

Company or Business;

1.Tin Certificate
2.Business License
3.ID (Nida,Voter or Driving license)
4.Certificate of Incorporation/Registration

IMG-20240708-WA0002.jpg
 
Airtel leo wamefakisha kisngeee

Huu sasa ni zaidi ya wizi

View attachment 3037617View attachment 3037617
Kulingana na observation ndogo niliyofanya nimebaini kuwa leo mitandao karibia yote ilikuwa down kwenye internet.

Nimetumia Halotel nikakutana na the same problem.

Lakini pia kuna mtu kanipigia simu akiniukiza kama internet upande wangu iko poa baada ya kuona yeye inamsumbua.

Huyo mtu naye ni Halotel user alidhani kwa upande wa Router hilo tatizo halipo.
 
Wakuu mtu akitaka huduma hii anichekinni free of charge awe naizo requirements tu atajinunulia mwenyewe tu bundle lake 0753207909

SME BUNDLE REQUIREMENTS;

Individual :

1.Tin Certificate
2.ID(Nida,Voter or Driving License)

Company or Business;

1.Tin Certificate
2.Business License
3.ID (Nida,Voter or Driving license)
4.Certificate of Incorporation/Registration

View attachment 3037677
Sisi wenye NIDA na TIN uatusaidiaje?
 
Back
Top Bottom