Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Pole sana mkuu,Mwenyezi Mungu atakufanyia wepesi katika hayo unayopitia InshallahHabari, wakuu mimi baba mwenye familia, nimepata ajali mbaya now nipo nyumbani najiuguza, watoto shule wanafungua tar 1
Ninaomba kwa mwenye connection ya watu mitandao walio kweny system nisaidiwe namna au laini yenye uwezo wa kurusha ana kuuza vifurushi vya internet MBs na Gb,
Ili angalau niweze kupata hata kidogo mahitaji ya familia nipunguze ukali wa maisha maana utawagemea ndugu wakupe msaada mpka lini wameshanichoka nao wana majukumu yao. Natanguliza shukrani,, Karibuni PM wakuu kwa mengi zaidi.
Meridian wenyewe wana namna wanaitoa namba yako kuleWa mtandao au hao meridian maana sija wahi tumia iyo app ya betting
Peleka kwa wanaorusha vocha, ukiwapa deal zuri wanachukua hio vocha,Wakuu msaada nimenunue vocha ya 300,000 bahati mbaya kupitia NBC app badala ya kutuma kama pesa ya kawaida
Kuna namna yoyote naweza kuipeleka sehemu nipate cash? hata kwa hasara fulani hivi
Ikishindikana kabisa ntakuwa najiungia tu bundle za mwezi za airtel hizi unlimited ila sina mipango mirefu hivyo kwasasa, mwenye idea nitashukuru
Wameirudisha tena mkuu?Vodacom sme View attachment 3031178
hii ndo unaipataje..?Wameirudisha tena mkuu?
Na ni ndio nauliza mkuu, kuna kipindi ilikuwepo, na ulizia kama imerudi.hii ndo unaipataje..?
Kuna jamaa anafanya kazi Vodacom mkuu, kaniunga kwa 15k , una mpa tin number, nida na picha yako anakuungaWameirudisha tena mkuu?
Mbona huu bado ni wizi 15k watu wanapata 15-18 wewe 10 tu.. halotel M2M airtel Sme na tigo postpaidVodacom sme View attachment 3031178
Upo wapiNatafuta gwiji wa kutrack namba ya simu ya mtu kwamba Yuko wapi mwenye uwezi aje inbox Kuna malipo.
Kama za Voda zina charger ya pin kama za airtel, zinaweza zikaingiliana .Wadau naombeni ufafanuzi kwa mwenye experience.Je ile powerbank ya router za airtel inaweza kuwasha router za voda 5g ZTE mc888?
Hapa napata mimi au wewe chiefKwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya.
1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store)
2. Ingia Invite & Earn
3. Bonyeza Redeem
4. Weka hii code 8UP9UNZE
Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
Kulingana na observation ndogo niliyofanya nimebaini kuwa leo mitandao karibia yote ilikuwa down kwenye internet.Airtel leo wamefakisha kisngeee
Huu sasa ni zaidi ya wizi
View attachment 3037617View attachment 3037617
Sisi wenye NIDA na TIN uatusaidiaje?Wakuu mtu akitaka huduma hii anichekinni free of charge awe naizo requirements tu atajinunulia mwenyewe tu bundle lake 0753207909
SME BUNDLE REQUIREMENTS;
Individual :
1.Tin Certificate
2.ID(Nida,Voter or Driving License)
Company or Business;
1.Tin Certificate
2.Business License
3.ID (Nida,Voter or Driving license)
4.Certificate of Incorporation/Registration
View attachment 3037677
Kwa individual hivyo viwili ndo vinavohitajika. Ngoja kukuche nimchekiSisi wenye NIDA na TIN uatusaidiaje?
Inafaa boss nicheki tuSisi wenye NIDA na TIN uatusaidiaje?
Sawa mkuuInafaa boss nicheki tu