airtel wanazingua sana wanakupa Gb nyingi halafu speed ya kobe.Wapuuzi sana hawa wanalimit speed nimejiunga UN ya airtel money speed inacheza kwenye 30 to KB/s[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Co lazima chuo, mm ninayo ya kawaida na najiunga kama kawaHiyo mpaka laini ya chuo
Mm ninayo sometimes huwa naitumia
Kuhusu network imeboreshwa siku hizi labda kama upo eneo local
Sasa tigo 4G na Halotel 3G ipi iko fasta???? Fanya uchunguzi afu niambietop wa nini? hivi unategemea mtandao wa 3g kupita speed mitandao ya 4g?
unapiga ngapi na inakaa siku ngapi?Mimi voda wananipa gb 5 kwa 2000
Mmmhhh!!! Mi mbona spidi ilikuwa ya kawaida labda eneo lakoWanalimit speed ...bando la kawaida spidi inakuwa normal ila ukiunga hilo bado spid inakuwa limited....
Ni ya kwako tu *149*03#unapiga ngapi na inakaa siku ngapi?
*149*03# mwezi ila mm sijawahi kaa nacho zaid ya week maana matumiz yangu kwa siku ni gb na kuzidunapiga ngapi na inakaa siku ngapi?
Wew uko wapi!!?Mmmhhh!!! Mi mbona spidi ilikuwa ya kawaida labda eneo lako
Gb5 kwa mwezi mbn chache sana mkuu inamaana ww huendagi kumchek dada wa taifa dada mange?maana ukienda uko gb zinaporomokaMm voda ya kwako tu wananipa
300mb kwa 500 wiki
1gb 1000 wiki
5gb 2000 mwezi
Sinaga shida na mb kabisa
Najiungaga mwezi
Inakuaje mpaka wanakupa hizo GB kwa hela hiyo mkuu?Mimi voda wananipa gb 5 kwa 2000
Nilikuwa naitumia karibu na Mzumbe universityWew uko wapi!!?
Hazifiki huko kote,zinaishia njianiGb5 kwa mwezi mbn chache sana mkuu inamaana ww huendagi kumchek dada wa taifa dada mange?maana ukienda uko gb zinaporomoka
tigo 4G ipo fasta maeneo mengi tu. hapa napata 30mbps kupanda. now natumia voda 4G ambayo unapata 40mbps na zaidi, same kwa TTCL,Sasa tigo 4G na Halotel 3G ipi iko fasta???? Fanya uchunguzi afu niambie
Sina uhakika mkuu, sijatumia kwa wiki kama tatu sasaMkuu. Hii offer bado ipo ya 600 kwa Gb 10?
Nilitumiwa sms wamesitisha na jamaa nikimpigia hapatikan hewani. Nijuze km bado inaendelea
Spidi yao inategemea na eneo, kuna maeneo kuanzia msasani, masaki, posta spidi ipo poa sana, huwa naaangalia epl bila ya kustack sema ukitoka maeneo hayo ndo shida inaanza speed inakuwa ya kobe kweliairtel wanazingua sana wanakupa Gb nyingi halafu speed ya kobe.
na hii unapiga *149*42#Ni kwa line za aina gani? mimi ninayo ya kawaida.*149*03# mwezi ila mm sijawahi kaa nacho zaid ya week maana matumiz yangu kwa siku ni gb na kuzid