Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni 1gb mchana na usiku ni 1gb sio 4gb Mkuu.Voda wana 4gb kwa 1500 kwa usiku 2 kuanzia 5 usiku.
Nashangaa usiku usiku usiku wa saa ngapi?? Isijekuwa saa 8 afu nisilale eti kisa mbs.4gb kwa 1500 usiku ni ndogo sana ndio maana sikuiweka, airtel na halotel wanatoa 10Gb
Unafanyaje kupata 10gb kwa Tshs 2,00010gb mwez kwa 2000 tigo only
Inapatikanaje kwa kupiga namba ipi10gb mwez kwa 2000 tigo only
Vipi umejaribu inadum mda ganingoja nijalib hyo mia 6
Hii huduma inapatikana kwa baadhi ya line. Ni line zile ambazo zilikuwa na kawaida ya kununua vifurushi sana vya internet.unajiungaje
saa tano au saa sita usiku tegemea na mtandao,Nashangaa usiku usiku usiku wa saa ngapi?? Isijekuwa saa 8 afu nisilale eti kisa mbs.
*148*05# ila wachache sana wana hio offer, huwa wanawapa line zisizotumia net, wengine ni sh 500 unapata 10gb halafu inaruhusu kujirudiaInapatikanaje hii jambaz langu
nunua vocha ya chuo, utapata 10gb itumike usiku ndani ya siku tatuHii ya Airtel 10GB kwa Shs 600 usiku si walishaitoa? Au kuna code za siri nijiunge.
Hiyo 1 gb kwa tigo ya 600 ni ya wiki au 24 hours
masaa 24Mkuu hiyo GB 1 ya tigo kwa sh 600 inatumika ndani ya muda gani
Mkuu hiki cha airtel 600 Gb 10 menu yake? Msaada tafadhalithanx nimeshabupdate
thanx nimeshabupdate
siyo lazima uwe Na vocha za chuo kupata vifurushi vya chuo hata line ya Kawaida unapataHiyo Airtel ya 1.2GB kwa 500/= kinapatikana kwa kutumia Vocha, Airtel Money au Uwe na Line ya Chuo
Kivipi mkuusiyo lazima uwe Na vocha za chuo kupata vifurushi vya chuo hata line ya Kawaida unapata
*148*33# mkuu ivoUnafanyaje kupata 10gb kwa Tshs 2,000