hosh kosh
JF-Expert Member
- Mar 2, 2017
- 748
- 572
*148*33# ni ivo mkuuInapatikanaje kwa kupiga namba ipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
*148*33# ni ivo mkuuInapatikanaje kwa kupiga namba ipi
*148*33# ivo jamaa ang...ht km watakupa sms tofaut..lazimisha sana cz hawatoi kirahic rahic.Inapatikanaje hii jambaz langu
mkuu hicho cha 600 kina ukomo wa muda au mpaka data ziishe.hii ni thread ya vifurushi ambavyo sio rasmi kama vya chuo au vifurushi maalum ambavyo vinatoa kiasi kikubwa cha internet, nitalist vifurushi ninavyovifahamu kama kuna wanaojua vyengine watasaidia
Tigo
-1gb kwa shilingi 600
nunua vocha ya 1000 halafu ingiza mfumo huu *104*namba ya vocha*03# watakukata shilingi 600 na utapewa 1gb ya internet
-vifurushi vya chuo
hivi utapata mb na dakika kwa pamoja ila nitaandika tu mb, shilingi 1500 mb500 kwa wiki na sh500 ni mb300 kwa wiki. kujiunga bonyeza *148*01*20# au bonyeza *148*00# kisha chagua vifurushi maalum, itabidi uwe na line ya chuo
Vodacom
-3gb kwa sh 2000 au 800mb kwa sh 1000
bonyeza *149*03# kupata hivi vifurushi, kutegemeana na line utapata kifurushi kimoja kati ya hivyo
-vifurushi vya chuo
kwa sh 500 utapata mb500, 1500 utapata 1gb na 2500 utapata 2gb zinazodumu wiki nzima, kujiunga piga *149*42#
Airtel
-vifurushi vya chuo
hawa jamaa wana vifurushi vizuri zaidi vya chuo hasa cha usiku ambacho unapata 10gb kwa sh 600, pia kipo cha kawaida unapata 2gb kwa 1000 na 1.2gb kwa sh600. kuvipata unahitaji kununua vocha za chuo zinazopatikana vyuoni au kutumia airtel money *150*60# kisha uchague ofa kabambe nafkiri option ya 6.
Halotel
-vifurushi vya chuo
hawa wana kifurushi kizuri cha chuo cha mwezi sh 10,000 unapata 10gb ni kizuri kwa wasiopenda usumbufu wa kuunga unga vifurushi, pia kipo cha wiki sh 500 mb600, kujiunga *148*55#
-usiku 10g kwa sh 1500
pia kipo kifurushi cha usiku kwa wale ambao airtel haina speed kwao, kujiunga *148*66# kisha utaenda upande wa internet
TTCL
-Boom pack (vya chuo)
kwa shilingi 500 utapata 500MB, shilingi 1500 1gb na shilingi 2500 3gb kujiunga *148*30#
vifurushi vya youtube
zipo website nyingi sana wanahost movie youtube, unaweza jiunga kifurushi cha youtube kisha ukatembelea hizo site na kudownload, sema utahitaji bundle nyengine ya kubrowse na bundle ya youtube ya kudownloadia. vipo kila mtandao.
kuna kifurushi unaona kinastahili kuwa hapo? usisite kukitaja chini
Remote
nimekusoma mkuu, thank uBoss Unapiga *149*42#
Hv voda wana line za Chuo au mpk uwe maeneo ya Chuo ndo unaweza kujiunga na vifurush vya Chuo?Vodacom vifuryshi vya chuo
Kwa siku
![]()
Kwa wiki
![]()
Mpaka usajiliwe kwa kitambulisho cha chuoHv voda wana line za Chuo au mpk uwe maeneo ya Chuo ndo unaweza kujiunga na vifurush vya Chuo?
iyo 1gb ina dumu kwa muda ganYani umeniokoa hyo ya tigo nimeweka imekubali nilikua nanunua 1 gb kwa elf2[emoji1][emoji1]
Tigo 4G ipo vzuri sana. Ila 3G yao ndo majangaaa unaweza kulia.Tigo 4G nimetumia maeno ya Kitunda na kivule unapata kama 20MBps hivi, jaribu 4G
[emoji1][emoji1]Let's wait kwakweli.Halotel ya usiku 1500Sh/10GB wametisha! Tatizo hii nyumba luku inaishaga kila siku saa 9 na nusu usiku. Labda na Tanesco walete
Usiku pack itasaidia..
ku access vifurushi vya chuo Kwa line ya Kawaida bila ya vocha za chuo ingiza hiyo code *149*81#Kivipi mkuu
nitajie sehemu ambayo tigo nibora kuliko mitandao mingineyap, huwa napenda niwe na line zote, nchi hii kila eneo mtandao fulani ni bora kuliko mwengine
Kaniboa kweli yan.Huyo mshenzi anafaha kupigwa ban anatuletea ujinga wake wa secondary hapa
Hii ni kwa mtandao gan mkuu.ku access vifurushi vya chuo Kwa line ya Kawaida bila ya vocha za chuo ingiza hiyo code *149*81#
Poleee mwana ckujua ata mm ndo mana nilieleza naomba no. Yako niktumie vocha ya tigo ulipe deni.Half jamaaaa acha masihara bhas yan umesababisha nimekopa salio bila kupenda wakt sijawahi kukopa.
Bando ni bure?? Hamma cha bure hapo.TTCL Instagram,watsaap na facebook free ukiwa na bando yeyote active
Ukinunua bando ya 2500 ya mwezi unapewa GB 3 lakini ukitumia izo Watsapp ,Instagram na FB hazipunguzi mb zako kwaiyo kuna unafuu especially insta ina consume data sanaBando ni bure?? Hamma cha bure hapo.