shushushu VIP
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 4,799
- 4,312
Shukran kaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani bado upo university?vipi kuhusu Bando za TTCL kwa line za chuo?
KweliMambo halotel siku hizi sina stress najiunga 10gb
Hapo kwenye tigo kifurushi cha 600 cha 1GB ni kwa siku au wiki??hii ni thread ya vifurushi ambavyo sio rasmi kama vya chuo au vifurushi maalum ambavyo vinatoa kiasi kikubwa cha internet, nitalist vifurushi ninavyovifahamu kama kuna wanaojua vyengine watasaidia
Tigo
-1gb kwa shilingi 600
nunua vocha ya 1000 halafu ingiza mfumo huu *104*namba ya vocha*03# watakukata shilingi 600 na utapewa 1gb ya internet
-vifurushi vya chuo
hivi utapata mb na dakika kwa pamoja ila nitaandika tu mb, shilingi 1500 mb500 kwa wiki na sh500 ni mb300 kwa wiki. kujiunga bonyeza *148*01*20# au bonyeza *148*00# kisha chagua vifurushi maalum, itabidi uwe na line ya chuo
Vodacom
-3gb kwa sh 2000 au 800mb kwa sh 1000
bonyeza *149*03# kupata hivi vifurushi, kutegemeana na line utapata kifurushi kimoja kati ya hivyo
-vifurushi vya chuo
kwa sh 500 utapata mb500, 1500 utapata 1gb na 2500 utapata 2gb zinazodumu wiki nzima, kujiunga piga *149*42#
Airtel
-vifurushi vya chuo
hawa jamaa wana vifurushi vizuri zaidi vya chuo hasa cha usiku ambacho unapata 10gb kwa sh 600, pia kipo cha kawaida unapata 2gb kwa 1000 na 1.2gb kwa sh600. kuvipata unahitaji kununua vocha za chuo zinazopatikana vyuoni au kutumia airtel money *150*60# kisha uchague ofa kabambe nafkiri option ya 6.
Halotel
-vifurushi vya chuo
hawa wana kifurushi kizuri cha chuo cha mwezi sh 10,000 unapata 10gb ni kizuri kwa wasiopenda usumbufu wa kuunga unga vifurushi, pia kipo cha wiki sh 500 mb600, kujiunga *148*55#
-usiku 10g kwa sh 1500
pia kipo kifurushi cha usiku kwa wale ambao airtel haina speed kwao, kujiunga *148*66# kisha utaenda upande wa internet
TTCL
-Boom pack (vya chuo)
kwa shilingi 500 utapata 500MB, shilingi 1500 1gb na shilingi 2500 3gb kujiunga *148*30#
vifurushi vya youtube
zipo website nyingi sana wanahost movie youtube, unaweza jiunga kifurushi cha youtube kisha ukatembelea hizo site na kudownload, sema utahitaji bundle nyengine ya kubrowse na bundle ya youtube ya kudownloadia. vipo kila mtandao.
kuna kifurushi unaona kinastahili kuwa hapo? usisite kukitaja chini
Remote
Najiungaje mkuu hii???Halotel ya usiku 1500Sh/10GB wametisha! Tatizo hii nyumba luku inaishaga kila siku saa 9 na nusu usiku. Labda na Tanesco walete
Usiku pack itasaidia..
Tatzo hao mawakala wa Halopesa siwaoni.Uzuri wa haloteli ni kwamba ukinunua bando kwa haloppesa nyongeza ni 30% kwahiyo kifurushi cha 500/ unakinunua kwa 385/ ...Km unataka cha 1000/ unanunua bando la 770/ tu
Najiungaje mkuu hii???
Tigo vifurushi vya chuo washapunguza @1500 unapata DK 80, MB-500 for 7 days Wakati awali ilikuwa DK 130, 1GB @1500 TZS
Mbona hiyo ya voda *149*03# sipati hiyo bali naona ni muda wa maongez tu?hii ni thread ya vifurushi ambavyo sio rasmi kama vya chuo au vifurushi maalum ambavyo vinatoa kiasi kikubwa cha internet, nitalist vifurushi ninavyovifahamu kama kuna wanaojua vyengine watasaidia
Tigo
-1gb kwa shilingi 600
nunua vocha ya 1000 halafu ingiza mfumo huu *104*namba ya vocha*03# watakukata shilingi 600 na utapewa 1gb ya internet
-vifurushi vya chuo
hivi utapata mb na dakika kwa pamoja ila nitaandika tu mb, shilingi 1500 mb500 kwa wiki na sh500 ni mb300 kwa wiki. kujiunga bonyeza *148*01*20# au bonyeza *148*00# kisha chagua vifurushi maalum, itabidi uwe na line ya chuo
Vodacom
-3gb kwa sh 2000 au 800mb kwa sh 1000
bonyeza *149*03# kupata hivi vifurushi, kutegemeana na line utapata kifurushi kimoja kati ya hivyo
-vifurushi vya chuo
kwa sh 500 utapata mb500, 1500 utapata 1gb na 2500 utapata 2gb zinazodumu wiki nzima, kujiunga piga *149*42#
Airtel
-vifurushi vya chuo
hawa jamaa wana vifurushi vizuri zaidi vya chuo hasa cha usiku ambacho unapata 10gb kwa sh 600, pia kipo cha kawaida unapata 2gb kwa 1000 na 1.2gb kwa sh600. kuvipata unahitaji kununua vocha za chuo zinazopatikana vyuoni au kutumia airtel money *150*60# kisha uchague ofa kabambe nafkiri option ya 6.
Halotel
-vifurushi vya chuo
hawa wana kifurushi kizuri cha chuo cha mwezi sh 10,000 unapata 10gb ni kizuri kwa wasiopenda usumbufu wa kuunga unga vifurushi, pia kipo cha wiki sh 500 mb600, kujiunga *148*55#
-usiku 10g kwa sh 1500
pia kipo kifurushi cha usiku kwa wale ambao airtel haina speed kwao, kujiunga *148*66# kisha utaenda upande wa internet
TTCL
-Boom pack (vya chuo)
kwa shilingi 500 utapata 500MB, shilingi 1500 1gb na shilingi 2500 3gb kujiunga *148*30#
vifurushi vya youtube
zipo website nyingi sana wanahost movie youtube, unaweza jiunga kifurushi cha youtube kisha ukatembelea hizo site na kudownload, sema utahitaji bundle nyengine ya kubrowse na bundle ya youtube ya kudownloadia. vipo kila mtandao.
kuna kifurushi unaona kinastahili kuwa hapo? usisite kukitaja chini
Remote
unatumia vocha za chuo mkuuMkuu hiki cha airtel 600 Gb 10 menu yake? Msaada tafadhali
mkuu most of times mikoa ambayo Tigo wana 4g ujue wanakuwa na speed zaidi, na pembezoni mwa dar pia wana speed zaidi sababu wao coverage yao ni kubwa kushinda 4G za voda na TTCL,nitajie sehemu ambayo tigo nibora kuliko mitandao mingine
Hii unajiungaje mkuu?Jamani Sina hamu na Tigo, kuna siku nimenunua bando la GB 10 kwa mwezi lile la 2000 ila sikubahatika kutumia hata MB 100 mpaka mwezi umeisha. Yaani ilikuwa slow sana, yaani kwa sasa line nimeitelekeza imebaki ya makumbusho tu
nimeunga jana tu mkuu, unatumia tigo?Mkuu hiyo ya tigo *104*......*03# ya 1gb kwa 600 ukieka vocha ya 1000, inakataa au hakipo?
Ndiyo nimejaribu imeleta meseji nyingi sana kwamba nimekosea kujiunga nk, nyingine inasema vocha imeshatumika nikaingiza kwa njia tu ya kawaida ikawa valid.nimeunga jana tu mkuu, unatumia tigo?