Njunwa Wamavoko
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 5,757
- 2,368
Angalia column ya balance hapo kwenye Credit hizo ni Bytes zilizo allocated i.e 62914560 bytes.Sijaelewa hapo kitu ya kucalculate lakini natumia daily nasipati limitation yeyote .....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia column ya balance hapo kwenye Credit hizo ni Bytes zilizo allocated i.e 62914560 bytes.Sijaelewa hapo kitu ya kucalculate lakini natumia daily nasipati limitation yeyote .....
Haukuvunja laini yao!!voda ndo hapo huwa naikubali 3gb siku 5 na kwa speed nzuri ajabu.
Inapatikanaje mkuu10gb mwez kwa 2000 tigo only
Hii ni boom pack ya mwanafunzi?Angalia column ya balance hapo kwenye Credit hizo ni Bytes zilizo allocated i.e 62914560 bytes.
Niivunje kwani me nyumbu.Haukuvunja laini yao!!
DView attachment 489074[/ATTACH]uzR[lhii ni thread ya vifurushi ambavyo sio rasmi kama vya chuo au vifurushi maalum ambavyo vinatoa kiasi kikubwa cha internet, nitalist vifurushi ninavyovifahamu kama kuna wanaojua vyengine watasaidia
Tigo
-1gb kwa shilingi 600
nunua vocha ya 1000 halafu ingiza mfumo huu *104*namba ya vocha*03# watakukata shilingi 600 na utapewa 1gb ya internet
-vifurushi vya chuo
hivi utapata mb na dakika kwa pamoja ila nitaandika tu mb, shilingi 1500 mb500 kwa wiki na sh500 ni mb300 kwa wiki. kujiunga bonyeza *148*01*20# au bonyeza *148*00# kisha chagua vifurushi maalum, itabidi uwe na line ya chuo
Vodacom
-3gb kwa sh 2000 au 800mb kwa sh 1000
bonyeza *149*03# kupata hivi vifurushi, kutegemeana na line utapata kifurushi kimoja kati ya hivyo
-vifurushi vya chuo
kwa sh 500 utapata mb500, 1500 utapata 1gb na 2500 utapata 2gb zinazodumu wiki nzima, kujiunga piga *149*42#
Airtel
-vifurushi vya chuo
hawa jamaa wana vifurushi vizuri zaidi vya chuo hasa cha usiku ambacho unapata 10gb kwa sh 600, pia kipo cha kawaida unapata 2gb kwa 1000 na 1.2gb kwa sh600. kuvipata unahitaji kununua vocha za chuo zinazopatikana vyuoni au kutumia airtel money *150*60# kisha uchague ofa kabambe nafkiri option ya 6.
Halotel
-vifurushi vya chuo
hawa wana kifurushi kizuri cha chuo cha mwezi sh 10,000 unapata 10gb ni kizuri kwa wasiopenda usumbufu wa kuunga unga vifurushi, pia kipo cha wiki sh 500 mb600, kujiunga *148*55#
-usiku 10g kwa sh 1500
pia kipo kifurushi cha usiku kwa wale ambao airtel haina speed kwao, kujiunga *148*66# kisha utaenda upande wa internet
TTCL
-Boom pack (vya chuo)
kwa shilingi 500 utapata 500MB, shilingi 1500 1gb na shilingi 2500 3gb kujiunga *148*30#
vifurushi vya youtube
zipo website nyingi sana wanahost movie youtube, unaweza jiunga kifurushi cha youtube kisha ukatembelea hizo site na kudownload, sema utahitaji bundle nyengine ya kubrowse na bundle ya youtube ya kudownloadia. vipo kila mtandao.
kuna kifurushi unaona kinastahili kuwa hapo? usisite kukitaja chini
Remote
*148*33#Inapatikanaje mkuu
Hiyo picha ni ya Boom packHii ni boom pack ya mwanafunzi?
Basi shughuli kweli kweli .... Hizi siku basi sijashtuka once nilikua natumia sana insta ili kupima na nikajiaminisha ....siku hizi 10 sijanoticeHiyo picha ni ya Boom pack
Ila pia line yangu ya kawaida wameifanya hivo...awali ilikua Unlimited ila siku 10 zilizopita wameibana
namba ya kujiungaVodacom vifuryshi vya chuo
Kwa siku
![]()
Kwa wiki
![]()
hapana ni cha sikuVipi hikii kifurushi ni cha wiki mkuu?
Kumbe ni lazima kwanza ununue cha 2500! Hamna bure hapo, imefichwa tu.Ukinunua bando ya 2500 ya mwezi unapewa GB 3 lakini ukitumia izo Watsapp ,Instagram na FB hazipunguzi mb zako kwaiyo kuna unafuu especially insta ina consume data sana
Imekubali kumbe jamaa alinipa vocha ya sh. 500 mie mie bila kucheki nkwa naeka.nimeunga jana tu mkuu, unatumia tigo?
Sasa Mkuu 2500 kwa GB 3 ukiweka Mara 4 ni GB kumi na mbili kwa sh 10000 mwezi mzima na ni 4G iliyojitosheleza ..... Nitafutie bundle ya gharama iyo kwenye mtandao wowote hupati plus izo extras za za Instagram,Facebook na watsaapKumbe ni lazima kwanza ununue cha 2500! Hamna bure hapo, imefichwa tu.