the supporter
JF-Expert Member
- Aug 18, 2013
- 829
- 1,096
Kwa upande wangu naona nimeokoa kz nimelipia package ya mwaka 185k na baki niki kimbizana na internet tu 70k. Ila na kuwa na uwakika wa mpira nje na ndani, movie na series bila hustle ya kudownload nani katika quality ya HDSawa sawa mkuu japo hapo gharama naona kama inazidi kushoot ila kama ni kitu cha uhakika basi safi sana