Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Pm me
 
Duuuh kwa hali hii bora niendelee na kifurushi changu cha Chuo...
 
KUNA KIFURUSHI CHA VODA UNAPATA 10GB KILA MWEZ
KWA MIEZI MITATU.... KUNA MTU ANAJUA HAYA MAUJANJA
hivyo vinavyojirudia kila mwezi vinakuwa ni vifurushi vya kununua simu, vipo halotel, voda, tigo etc. unaponunua simu ya mtandao wanakupa hizo zawadi.

sema kuna watu wanafanya magumashi unavipata kawaida
 
Hivi airtel mbona kama wamepunguza vifurushi maana 2GB kwa 6000 duh
 
hivyo vinavyojirudia kila mwezi vinakuwa ni vifurushi vya kununua simu, vipo halotel, voda, tigo etc. unaponunua simu ya mtandao wanakupa hizo zawadi.

sema kuna watu wanafanya magumashi unavipata kawaida

yah kuna jamaa anaunganisha
hapa nilipo kwa elfu 5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…