Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Mi yangu inafanya online shoping...sijui unaposema iwe tayari unamaanisha nini....kama kuwezeshwa mi sikuwahi kuifanyia hivyo niliiLINK PayPal basi nikamaliza kazi
Oky sahihi kwa maono yako
 
Anaehitaji anione chap haupimiwi data, kesha 24hrs ni ww tu mpka tar yako ifike
 
Suala la data limekuwa pasua kichwa aisee.

FREE JF Version inaniokoa sana. Bila hivyo nisingeweza kuchungulia JF japo kwa siku.

-Kaveli-
 
Nina saidia watu kupunguza na kubana matumizi na gharama za kupiga simu na gb nyingi za internet ili uwe unapata dakika nyingi na gb nyingi kwa hera kidogo pata

Kwa tsh 2000 unapata dakika 1500 za mtandao mmoja na dakika 300 za mitandao tote na sms bila kikomo gb1½ kwa wiki nzima facebook na whatsapp ni bure ukiwa na vifurushi hiki kama wewe unahitaji offer hizi nitafute nikuelekeze pia karibu ktk group langu la whatsapp namba zangu ni 0756695846 na 0716258599. Nb.. Huuu sio uongo ni ukweli kabisa mimi navitumia hivi vifurushi. .karibu na wewe.
 
Nina saidia watu kupunguza na kubana matumizi na gharama za kupiga simu na gb nyingi za internet ili uwe unapata dakika nyingi na gb nyingi kwa hera kidogo pata

Kwa tsh 2000 unapata dakika 1500 za mtandao mmoja na dakika 300 za mitandao tote na sms bila kikomo gb1½ kwa wiki nzima facebook na whatsapp ni bure ukiwa na vifurushi hiki kama wewe unahitaji offer hizi nitafute nikuelekeze pia karibu ktk group langu la whatsapp namba zangu ni 0756695846 na 0716258599. Nb.. Huuu sio uongo ni ukweli kabisa mimi navitumia hivi vifurushi. .karibu na wewe.
 
mbona voda wanakataa kuniunganisha hicho cha chuo?au mpaka uwe na line ya chuo?
 
Tunnelguru nadhani ndo unaitambia hii itagundulika huwa tunakula kimya kimya sema speed yake ndogo sana najitaidi kuongoza speed lkn bado ila kwa 4G laini ya voda huwa nafaidi haswa..
Mkuu kwa device gani
 
Tunnelguru nadhani ndo unaitambia hii itagundulika huwa tunakula kimya kimya sema speed yake ndogo sana najitaidi kuongoza speed lkn bado ila kwa 4G laini ya voda huwa nafaidi haswa..
Still bado unapata unlimited data through tunnelguru me kitambo saana hii kitu ilishanikataa ukichanganya na ile ya droid vpn.
 
Uwakika pata GB8.2 miezi 3 kwa shilingi 1999 tu mtandao was Halotel hii ni latest imeanza Siku kuu ya pasaka changamkieni kuipata bofya *146*55*4*01#
 
Uwakika pata GB8.2 miezi 3 kwa shilingi 1999 tu mtandao was Halotel hii ni latest imeanza Siku kuu ya pasaka changamkieni kuipata bofya *146*55*4*01#

Hamna kitu nikiweka hizo namba haiendi. Halotel washanyooshwa kutoka mbwembwe za 10gb mpaka gb 6 si kwa spiiidi hiyo ya kushusha huduma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…