Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
hii samsung aina gani mkuuu?Oky km ni vpn zipo nyingi mnoo asee ninayo moja premium ni kiboko mpk speed yake ipo vzr mnoo View attachment 710825
Hapa ndipo ulipoa haribu ww kwann utoe siri za kambi?Tunnelguru nadhani ndo unaitambia hii itagundulika huwa tunakula kimya kimya sema speed yake ndogo sana najitaidi kuongoza speed lkn bado ila kwa 4G laini ya voda huwa nafaidi haswa..
Umewekaje whatsapp 2 boss!?Oky km ni vpn zipo nyingi mnoo asee ninayo moja premium ni kiboko mpk speed yake ipo vzr mnoo View attachment 710825
Voda 2k unaoata Gb 5 kwa mweziUwakika pata GB8.2 miezi 3 kwa shilingi 1999 tu mtandao was Halotel hii ni latest imeanza Siku kuu ya pasaka changamkieni kuipata bofya *146*55*4*01#
*149*60#Wakuu Vodacom Ya kwako tu (*149*03#) ukitaka kucheki salio unapiga # gani ?
Ahsante mkuu*149*60#
Whattsap ya kutoka playstore + gb whatssap apk kutoka google searchUmewekaje whatsapp 2 boss!?
Hii tunakula taratibuStill bado unapata unlimited data through tunnelguru me kitambo saana hii kitu ilishanikataa ukichanganya na ile ya droid vpn.
VPN gani unatumia mkuu? Kuna Post yako hapo juu nimeona. Na gharama zikoje na speed yake. Nijulishe aisee, maana vyuma vimekaza.Nina text million 2
Mgao wa voda juziView attachment 752864
chagua Lipa kwa m-pesa inakubalimbona voda wanakataa kuniunganisha hicho cha chuo?au mpaka uwe na line ya chuo?
Hiki ni kifurushi gani au ni kile cha usiku cha gb 10?Hamna kitu nikiweka hizo namba haiendi. Halotel washanyooshwa kutoka mbwembwe za 10gb mpaka gb 6 si kwa spiiidi hiyo ya kushusha huduma
Hiki ni kifurushi gani au ni kile cha usiku cha gb 10?[/QUOTE
Hii ilikuwa kwenye line ya mwana chuo sikuizi nimewahama wanaiba tuu ukiweka kibando kinaisha faster kushinda maelezo. Nimerudi nyumbani ttcl ndo wapo kwenye chat sasa ni wauhakika.
Umeshaipata line ya voda ya chuo ?ni pmJamani nahitaji line Ya CHUO Ya voda
Mimi nilipiga *149*03# ikaniletea 5GB@2000/mwezi baada yakuitumia kwa miezi 5 sasa imenipa 5GB@5000/=/MweziHuyu hajaangalia vizuri, hiyo bundle ya 3GB siku 7 ya voda ni shs. 20,000/= sio 2,000/=.