5GB,SMS bila kikomo na dakika 250 kwa mwezi kwa 2000 tu. Mi ndo napata hivyo nikipiga *149*03#Mimi nilipiga *149*03# ikaniletea 5GB@2000/mwezi baada yakuitumia kwa miezi 5 sasa imenipa 5GB@5000/=/Mwezi
Usinunue khali si nzuri kwa sasaVPN gani unatumia mkuu? Kuna Post yako hapo juu nimeona. Na gharama zikoje na speed yake. Nijulishe aisee, maana vyuma vimekaza.
Speed hakuna nn mkuu, sijakupata vizuriUsinunue khali si nzuri kwa sasa
Kwa sasa utapoteza pesa mambo hayaeleweki pia msishawishike kwa maneno khali si nzuri na speed yake mbovu kupita maelezo .Speed hakuna nn mkuu, sijakupata vizuri
Utanunua copynilichoshangaa sumsung galax s6 edge kwenye maduka ya simu ni sh 1,450,000 ukienda kariakooo sh 600,000 kazi kwako
Nimekuelewa Mkuu. Inabidi mitandao yetu iangalie namna ya kupunguza gharama aisee, hali si hali.Kwa sasa utapoteza pesa mambo hayaeleweki pia msishawishike kwa maneno khali si nzuri na speed yake mbovu kupita maelezo .
J 5 PRIMEhii samsung aina gani mkuuu?
Khali ni mbaya jitaidi kama watumia laini ya voda bonyeza *149*03# ofa yako internet no .2 kuna unafuuNimekuelewa Mkuu. Inabidi mitandao yetu iangalie namna ya kupunguza gharama aisee, hali si hali.
J5 pro itakuwa vzr zaidi? vp duka gani wanauza kwa bei rafiki?J 5 PRIME
Mimi nipo shinyanga lakini nanunulia simu zangu kwa mwanza j5 pro 2017 32GB ( 530k ) na J5 Prime 2017 32G kwa (450K) sijajua kwa maeneo mengine bei iko vp .J5 pro itakuwa vzr zaidi? vp duka gani wanauza kwa bei rafiki?
nimekusoma mkuuMimi nipo shinyanga lakini nanunulia simu zangu kwa mwanza j5 pro 2017 32GB ( 530k ) na J5 Prime 2017 32G kwa (450K) sijajua kwa maeneo mengine bei iko vp .
Bado unapata option ya 5GB?5GB,SMS bila kikomo na dakika 250 kwa mwezi kwa 2000 tu. Mi ndo napata hivyo nikipiga *149*03#
NdioBado unapata option ya 5GB?
Mi ninazo unatakaje boss!?Mwenye laini ya chuo ya Voda pls
Nimekupm mkuuNikipata moja ntashukuru sana Niko mbeya