Sorry chief, kwani Zantel wanapatkna tigo ilipo?kifurushi chao cha usiku ni 4gb kwa shilingi 1,500. sio kizuri.
kama eneo lako lina TTCL 4g wao wanatoa 10gb kwa shilingi 1000 hawa ndio best kwa muono wangu. ila inaanza saa sita usiku.
pia kama kuna tigo 4g tafuta line ya zantel kwa 1500 utapata 8gb na halotel utapata 10gb kwa 1500.
Ulinuna shingapi? Ni universal?yap ni 4g
ndio ni mtandao mmoja siku hiziSorry chief, kwani Zantel wanapatkna tigo ilipo?
Tnxndio ni mtandao mmoja siku hizi
Ulinuna shingapi? Ni universal?
na shida sana na line ya zantel ila huku nilipo ofisi za zantel hakuna,inamaana kwa majibu ya mkuu hpo naweza kwenda ofisi ya tigo nikapata line ya zantel?ndio ni mtandao mmoja siku hizi
Natapa wapi. Imeandikwa Speed Mb ngapi kwa sekunde.tsh 50000
Unatumia menu ipi kupata hii kitu? Yangu inaonyesha gb 3 hawa jamaa hawaelewekiWakuu nimeweka bando la chuo halotel la mwezi shilingi 10,000 GB 10 eti zimeisha siku moja kwa kuperuzi mtandao tu ,hawa jamaa ni wezi
Nimekuta gb 3now
wamepunguza ni 6gb
100.0mbpsNatapa wapi. Imeandikwa Speed Mb ngapi kwa sekunde.
Walivunja ubia na voda,!!!? coz kitambo walikuwa wana share na voda.ndio ni mtandao mmoja siku hizi
Mbona zantel wamenunuliwa na tigo kitambo} sasa tofauti ni majina tu ila mmiliki ni mmojaWalivunja ubia na voda,!!!? coz kitambo walikuwa wana share na voda.
sina uhakika kama walivunja ila toka kipindi wapo na voda pia walikuwa na tigo, na ile network ya tritel.Walivunja ubia na voda,!!!? coz kitambo walikuwa wana share na voda.
sio rahisi kupata, issue hapa wakitangaza hadharani wanaweza kukosa wateja ndio maana wanaieka hivyo hivyo separate.na shida sana na line ya zantel ila huku nilipo ofisi za zantel hakuna,inamaana kwa majibu ya mkuu hpo naweza kwenda ofisi ya tigo nikapata line ya zantel?
Uko wapi mkuuttcl wana speed ya konokono hataree
Uko wapi mkuu
[emoji16] [emoji16] [emoji16]Halotel ya usiku 1500Sh/10GB wametisha! Tatizo hii nyumba luku inaishaga kila siku saa 9 na nusu usiku. Labda na Tanesco walete
Usiku pack itasaidia..
kanda ya ziwa wana vifurushi vyao pia nimeona. 1500 unapata 2gb kwa siku.vodacom huku dar kumbe mna raha na offer ya super uni.