Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

kifurushi chao cha usiku ni 4gb kwa shilingi 1,500. sio kizuri.

kama eneo lako lina TTCL 4g wao wanatoa 10gb kwa shilingi 1000 hawa ndio best kwa muono wangu. ila inaanza saa sita usiku.

pia kama kuna tigo 4g tafuta line ya zantel kwa 1500 utapata 8gb na halotel utapata 10gb kwa 1500.
Sorry chief, kwani Zantel wanapatkna tigo ilipo?
 
Wakuu nimeweka bando la chuo halotel la mwezi shilingi 10,000 GB 10 eti zimeisha siku moja kwa kuperuzi mtandao tu ,hawa jamaa ni wezi
Unatumia menu ipi kupata hii kitu? Yangu inaonyesha gb 3 hawa jamaa hawaeleweki
 
na shida sana na line ya zantel ila huku nilipo ofisi za zantel hakuna,inamaana kwa majibu ya mkuu hpo naweza kwenda ofisi ya tigo nikapata line ya zantel?
sio rahisi kupata, issue hapa wakitangaza hadharani wanaweza kukosa wateja ndio maana wanaieka hivyo hivyo separate.

ila mikoa mikubwa si zantel ipo? tafuta mtu dar/mwanza/mbeya/Arusha akutafutie.
 
Back
Top Bottom