Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Cha TTCL kinapatikanaje?
 
Wanazidi kuturundikia dakika,nani snaongea na simu sikuhizi?
Waweke data ndo mpango mzima.
Nauliza hizo GB 4 kwa wiki kwa tigo unazipataje,maana mwenye menu haipo,ila kuna watu wanaunga kwa sh 2000.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…