Zantel wana 4G?kifurushi chao cha usiku ni 4gb kwa shilingi 1,500. sio kizuri.
kama eneo lako lina TTCL 4g wao wanatoa 10gb kwa shilingi 1000 hawa ndio best kwa muono wangu. ila inaanza saa sita usiku.
pia kama kuna tigo 4g tafuta line ya zantel kwa 1500 utapata 8gb na halotel utapata 10gb kwa 1500.
*148*30# kisha internet kisha toboaCha TTCL kinapatikanaje?
ndio wanayoZantel wana 4G?
ndio wanayo
Hizo bubadilika kulingana na matumiziVoda wanapoandika 500Units wanamaanisha nini, ni data au Dakika
Huyo kapewa dk nyingi sababu ya simu aliyotumia kupigia menu. Jamaa pia huwa wanaangalia na uwezo wa simu.Wanazidi kuturundikia dakika,nani snaongea na simu sikuhizi?
Waweke data ndo mpango mzima.
Nauliza hizo GB 4 kwa wiki kwa tigo unazipataje,maana mwenye menu haipo,ila kuna watu wanaunga kwa sh 2000.
Asante chief nimeelewaHizo bubadilika kukingana na matumizi
Angalia mchanganua mwisho wa huo ujumbe utaona unit 1 ni sawa na dk 1 voda to voda, au 5 unit dakika moja mitandao mingine.
At the sametime
1 unit sawa na MB1.
Watakuja chief wajuzi wa mambo hawajaona badowakuu ndo mmegoma kunisaidia ama
Nawaza mkuu hili hitaji lako.wakuu ndo mmegoma kunisaidia ama
Nimetumia emoji nyingi mkuu but 'stock emoji' haibadiliki yaan iko vile vile yaan nataka I we kama hvNawaza mkuu hili hiyaji lako.
Maana zipo app unaweza download zina tumia hizo emoji.
Huu mtandao wawapi tenaYajayo yanafurahisha sanaView attachment 813460View attachment 813461
Hiyo ya halotel unafanyaje kuipatakifurushi chao cha usiku ni 4gb kwa shilingi 1,500. sio kizuri.
kama eneo lako lina TTCL 4g wao wanatoa 10gb kwa shilingi 1000 hawa ndio best kwa muono wangu. ila inaanza saa sita usiku.
pia kama kuna tigo 4g tafuta line ya zantel kwa 1500 utapata 8gb na halotel utapata 10gb kwa 1500.
Huu mzigo ushaingia sokoni!!!!Yajayo yanafurahisha sanaView attachment 813460View attachment 813461
Yajayo yanafurahisha sanaView attachment 813460View attachment 813461
emoji ili zifanye kazi inabidi wote unaetuma na unae mtumia mtumie emoji sawa, ukieka emoji tofauti na uliyoekewa mwenzako ataona tu vibox.Chief nipo nje kidogo ya mada naitaji kubadilisha stock emoj ya cm yangu kwenda iOS kama hiviView attachment 813327
Njia rahisi fuata maelekezo ya chief mkwawa, ila emoji zinaweza kwako zikaonekana za ios kwa unae mtumia zisionekane hivyo kutokana na device atakayokuwa anatumia.Nimetumia emoji nyingi mkuu but 'stock emoji' haibadiliki yaan iko vile vile yaan nataka I we kama hvView attachment 813465
Mkuu kuna application nimefanikiwa kuipata inaitwa android emoji changer Ila ndani yake kuna maswala ya customer recovery Sijui ndo nini.Njia rahisi fuata maelekezo ya chief mkwawa, ila emoji zinaweza kwako zikaonekana za ios kwa unae mtumia zisionekane hivyo kutokana na device atakayokuwa anatumia.