Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

kifurushi chao cha usiku ni 4gb kwa shilingi 1,500. sio kizuri.

kama eneo lako lina TTCL 4g wao wanatoa 10gb kwa shilingi 1000 hawa ndio best kwa muono wangu. ila inaanza saa sita usiku.

pia kama kuna tigo 4g tafuta line ya zantel kwa 1500 utapata 8gb na halotel utapata 10gb kwa 1500.
Zantel wana 4G?
 
ndio wanayo

Chief nipo nje kidogo ya mada naitaji kubadilisha stock emoj ya cm yangu kwenda iOS kama hivi
default.jpg
 
Wanazidi kuturundikia dakika,nani snaongea na simu sikuhizi?
Waweke data ndo mpango mzima.
Nauliza hizo GB 4 kwa wiki kwa tigo unazipataje,maana mwenye menu haipo,ila kuna watu wanaunga kwa sh 2000.
Huyo kapewa dk nyingi sababu ya simu aliyotumia kupigia menu. Jamaa pia huwa wanaangalia na uwezo wa simu.
 
kifurushi chao cha usiku ni 4gb kwa shilingi 1,500. sio kizuri.

kama eneo lako lina TTCL 4g wao wanatoa 10gb kwa shilingi 1000 hawa ndio best kwa muono wangu. ila inaanza saa sita usiku.

pia kama kuna tigo 4g tafuta line ya zantel kwa 1500 utapata 8gb na halotel utapata 10gb kwa 1500.
Hiyo ya halotel unafanyaje kuipata
 
Chief nipo nje kidogo ya mada naitaji kubadilisha stock emoj ya cm yangu kwenda iOS kama hiviView attachment 813327
emoji ili zifanye kazi inabidi wote unaetuma na unae mtumia mtumie emoji sawa, ukieka emoji tofauti na uliyoekewa mwenzako ataona tu vibox.

pia inawezekana wewe ukaona vizuri hivyo kwa kubadili kwako ila kwa mwenzako kama hajabadili hataona vizuri kama unavyoona wewe

na pia hakuna emoji za ios na android wote wanatumia standard emoji za unicode kisha wanabadilisha tu vipicha hapa na pale kwa full list angalia hapa

Full Emoji List, v11.0

kwa kubadili emoji mbalimbali unaweza tu ukabadili keyboard mfano kwa kuanzia unaweza ukadownload keyboard inaitwa swiftkey ipo playstore na inatumika kote android na ios. tutorial yake hii hapa chini

How to use Emoji with SwiftKey
 
Njia rahisi fuata maelekezo ya chief mkwawa, ila emoji zinaweza kwako zikaonekana za ios kwa unae mtumia zisionekane hivyo kutokana na device atakayokuwa anatumia.
Mkuu kuna application nimefanikiwa kuipata inaitwa android emoji changer Ila ndani yake kuna maswala ya customer recovery Sijui ndo nini.
Screenshot_2018-07-20-14-28-48.jpg
View attachment 813961
Screenshot_2018-07-20-14-31-44.jpg
Screenshot_2018-07-20-14-31-59.jpg
 
Back
Top Bottom