Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

DView attachment 489074[/ATTACH]uzR[l
R5ufnny
5ATTACH=full]489z6fj075[p
Jh.. Fgd6tx. Bhs*@ hhbbn[emoji53] ))
Jd7rvvyupp 7cfh
99yce4rze
Tyxr7fcyx
,xf u 5,/ATTACH]
 

Attachments

  • IMG_20170322_133446.jpeg
    113.9 KB · Views: 160
  • IMG_20170324_141746.jpeg
    62.3 KB · Views: 39
Hiyo picha ni ya Boom pack

Ila pia line yangu ya kawaida wameifanya hivo...awali ilikua Unlimited ila siku 10 zilizopita wameibana
Basi shughuli kweli kweli .... Hizi siku basi sijashtuka once nilikua natumia sana insta ili kupima na nikajiaminisha ....siku hizi 10 sijanotice
 
Vip kwenye kifurushi Cha chuo Halotel Cha 500 ukijiunga unapewa MB 500-100
Na usiku 100 inamaana gani? ...
 
kuna vocha za tigo za shilingi 600, kwa wale wanaounga kifurushi cha 1gb ni vyema wanunue hizo, ila naona madukani hazijasambaa bado.
 
Ukinunua bando ya 2500 ya mwezi unapewa GB 3 lakini ukitumia izo Watsapp ,Instagram na FB hazipunguzi mb zako kwaiyo kuna unafuu especially insta ina consume data sana
Kumbe ni lazima kwanza ununue cha 2500! Hamna bure hapo, imefichwa tu.
 
Naomba kujua hio GB 1 kwa tsh 600 ya Tigo, ni kwa siku au wiki?
 
Kumbe ni lazima kwanza ununue cha 2500! Hamna bure hapo, imefichwa tu.
Sasa Mkuu 2500 kwa GB 3 ukiweka Mara 4 ni GB kumi na mbili kwa sh 10000 mwezi mzima na ni 4G iliyojitosheleza ..... Nitafutie bundle ya gharama iyo kwenye mtandao wowote hupati plus izo extras za za Instagram,Facebook na watsaap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…