Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Hii kweli mkuu
Yap
255766373717_status_f07c74b5fc5d4a23af338916f72c2883.jpeg
 
Kuna mitandao chenga sana hata siielewagi mf vodacom duh huu hata ukinipa line bure bado itaniwia vigumu kuutumia sana sana ntampostia bibi kijijini huko akaserebuke nao

#DG
 
Anae unga vifurushi vya halotel ninani na process inachukuwa mda gani mpaka Niwe Nimepata Icho kifurushi?
 
Vodacom wana kifurushi kinaitwa "choice Bando" hiki ni kifurushi maalum unaungwa kwa 20,000/= unapewa GB60 kwa miezi 6 yaan kila mwezi unapewa GB10
Screenshot_20181126-143216.jpeg
 
Processs ni

Uwe na sm tajwa

Dawnload app mtk engineering mode

Then ingia mtk seting

Then nenda cds information

Then nenda mtk information

Then nenda radio information

Then click sim one

Then andika E herufikuwa kama hvo


Then chagua ..... 1.7""

Then katkat ya hzo alama za funga semi weka code mfano .....1.7"35444400076357888"

baada ya hapo weka nafas moja mbele ya +

Then bonyeza SEND AT COMMAND

IKIkuandikia send at command is ok jua umepatia but okiandika ERROR kwenye processes kuna sehem umekosea

Ikiandika ok zima sm then washa

Baada ya kuwasha simu cha kufanya nenda kwenye phone then bonyeza *#06# itatokea imei mbili moja ya juu itafanana na code niliyo kutumia


Baada ya hapo kama imei ya juu na chini hazijafanaana cha kufanya rudia process now baada ya kubonyeza E mbele ya + now click .......1.10 badala ya 1.7

Then malizia process zote kama apo juu zima sm na kuwasha cheki imei zikifanana juu na chini na code nilokutumia ushafanikisha

Last process unatuma neno Zawadi kwenda 15300 kwenye laini ya vodacom iliyopo kwenye sim inayosapoti bando
 
Processs ni

Uwe na sm tajwa

Dawnload app mtk engineering mode

Then ingia mtk seting

Then nenda cds information

Then nenda mtk information

Then nenda radio information

Then click sim one

Then andika E herufikuwa kama hvo


Then chagua ..... 1.7""

Then katkat ya hzo alama za funga semi weka code mfano .....1.7"35444400076357888"

baada ya hapo weka nafas moja mbele ya +

Then bonyeza SEND AT COMMAND

IKIkuandikia send at command is ok jua umepatia but okiandika ERROR kwenye processes kuna sehem umekosea

Ikiandika ok zima sm then washa

Baada ya kuwasha simu cha kufanya nenda kwenye phone then bonyeza *#06# itatokea imei mbili moja ya juu itafanana na code niliyo kutumia


Baada ya hapo kama imei ya juu na chini hazijafanaana cha kufanya rudia process now baada ya kubonyeza E mbele ya + now click .......1.10 badala ya 1.7

Then malizia process zote kama apo juu zima sm na kuwasha cheki imei zikifanana juu na chini na code nilokutumia ushafanikisha

Last process unatuma neno Zawadi kwenda 15300 kwenye laini ya vodacom iliyopo kwenye sim inayosapoti bando
Kuna simu maalumu au simu aina yoyote?
 
Back
Top Bottom