Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Umeona eeh Nilijua tatizo ni simu yang kumbe tatizo ni aina ya kifulushi walicho kiweka.
Kwa hili haloteli mjilekebishe
Hichi kifurushi mi nakitumia ni kizuri kwa kudownload kama unatumia torrent basi utakifaidi sana lakini kuperuzi hakifai labda usiku manane
 
Halotel gb 13 kwa week kwa 6500

Kipo

IMG_0801.JPG


Pm no spam!!
 
Nimepost but wameremove thread bila kuhoji na kujilizisha kwamba ni fake au vipi, disappointment
 
Back
Top Bottom