Jerry Ekky
JF-Expert Member
- May 6, 2018
- 1,683
- 5,236
Voda piga *149*03# chagua SUPA UNI kupata 1GB kwa bukuGB 1 niliyokuwa naipata kwa 1000 voda ndio napata Zantel kwa bei hiyo hiyo wakati sahivi voda hupati 1GB bila 1500 au 2000 kama sikosei.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Voda piga *149*03# chagua SUPA UNI kupata 1GB kwa bukuGB 1 niliyokuwa naipata kwa 1000 voda ndio napata Zantel kwa bei hiyo hiyo wakati sahivi voda hupati 1GB bila 1500 au 2000 kama sikosei.
Hichi kifurushi mi nakitumia ni kizuri kwa kudownload kama unatumia torrent basi utakifaidi sana lakini kuperuzi hakifai labda usiku mananeUmeona eeh Nilijua tatizo ni simu yang kumbe tatizo ni aina ya kifulushi walicho kiweka.
Kwa hili haloteli mjilekebishe
Hii huduma kwa waliosajiliwa kwa ajili ya hiyo huduma au kila mteja?Voda piga *149*03# chagua SUPA UNI kupata 1GB kwa buku
Weka hapa utaratibu ukoje kuvipata
Weka hapa utaratibu ukoje kuvipata
TTCL ya chuo elf5 Gb5 mwezWakuu ni mtandao gani una vifurushi vya SMS vinavyojitegemea vya bei nafuu kwa mwezi ?
Oh sory ckusoma vzr sms tigo buku jero sms free mwezWakuu ni mtandao gani una vifurushi vya SMS vinavyojitegemea vya bei nafuu kwa mwezi ?
Ukipost nitagNtapost thread but kama unataka pm
Ukikijaribu hiko kifushi nipe mrejesho, naogopa kupigwa kizembe zembe.Ukipost nitag
Laini ya chuo au ya kawaida tu?Kama unapoishi mtandao wa tigo upo vizuri tafuta laini ya ZANTEL wanakifurushi cha gb 16 kwa elfu 10 kwa mwezi
Ukikijaribu hiko kifushi nipe mrejesho, naogopa kupigwa kizembe zembe.
Ukipost nitag
Ukikijaribu hiko kifushi nipe mrejesho, naogopa kupigwa kizembe zembe.
Wataalamu wa MTK ENGENEERING,,
Wanijuze jamani naisikia tu inaweza kukupatia GB nyingi zaidi
hakuna menu uiweke wazi kila mtu atumieNjoo na 4000 tsh nkupe hicho anachosema
Kama vipo vya voda nichek pm tuongee mzee nahitajiNjoo na 4000 tsh nkupe hicho anachosema