🤔Mkuu mbona mpaka sasa kazi yangu hujakamilisha nini tatizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤔Mkuu mbona mpaka sasa kazi yangu hujakamilisha nini tatizo
[emoji15][emoji15][emoji15]Mkuu mbona mpaka sasa kazi yangu hujakamilisha nini tatizo
Sio ya chuo iyo ujueWakuu hivi kuna mtu kwake inakubali kifurushi cha boom pack kupitia menu ya TTCL
Kwangu inasema hivi
Error occurred please contact TTCL support. Txn Ref#: 18066699
Pia salio lipo TTCL PESA kama 2500 nataka ninunue kifurushi cha 2500 kama kuna mtu amaelewa kuhusu hii kitu anielekeze wapi nakosea.
Ya kawaida ndio ila hiyo menu ipo kwenye TTCL pesa je hiyo huduma haipo na kuna mtu kaniambia kuna hiyo huduma sikuhizi huyu alonisajiria line japo pia hata gharama zilikuwa ni buku tu.Sio ya chuo iyo ujue
Muhimu: Mnapotuma screenshot kumbukeni ku_crop picha ili kuficha namba za simu mnazowasiliana nazo.
Kwa sasa huitaji laini yako ibadilishwe kuwa ya chuo,Kama Kuna mtu humu anaefanya huduma ya line ya TTCL ya kawaida kuwa ya chuo namuhitaji tafadhari🙏#PM
Fuatisha huo utaratibu, hapo juu, ACHA kutumia hii *148*30*35#Pia salio lipo TTCL PESA kama 2500 nataka ninunue kifurushi cha 2500
Nikitumia hiyo huduma ya TTCL PESA naambiwa hivi mkuu na wakati kuna 2500 TTCL PESA nikahisi labda ni kwa vile haibaki balance vivyo hivyo hata nikiunga cha 2000 au 1500 napata jumbe hiiKwa sasa huitaji laini yako ibadilishwe kuwa ya chuo,
Hiyo hiyo laini ya kawaida ingia kwa menu hii
*150*71*
Chagua 3
Chagua 2
Chagua 1: Boom Pack
- Hapo chagua kama ni Pack Data Only au Pack Bundle
Fuatisha huo utaratibu, hapo juu, ACHA kutumia hii *148*30*35#
Kwa upande wangu iko sawa, na dk chache nimeunga kifurushi cha siku na imekubariNikitumia hiyo huduma ya TTCL PESA naambiwa hivi mkuu na wakati kuna 2500 TTCL PESA nikahisi labda ni kwa vile haibaki balance vivyo hivyo hata nikiunga cha 2000 au 1500 napata jumbe hii
Je line ni ya kawaida mkuu au ile ya chuo maana nimewasiliana pia na huduma kwa wateja wananiambia ni huduma kwa ajili ya watu wa chuo tu. Je line yako pengine ilikuwa na access ya chuo Mkuu?Kwa upande wangu iko sawa, na dk chache nimeunga kifurushi cha siku na imekubari
View attachment 1095267
Laini ya kawaidaJe line ni ya kawaida mkuu au ile ya chuo
Au ni line ndo tatizo line yangu ni 0737 na nimesajiri leo ila nachokutana nacho sichoLaini ya kawaida
Labda, yaweza kuwa ndio sababu. Itumie kwa kuunga vifurushi vya internetvya kawaia kwa muda fulani, Then jaribu tena huenda ikakubaliAu ni line ndo tatizo line yangu ni 0737 na nimesajiri leo ila nachokutana nacho sicho
Sawa mkuu acha nifanye hivo.Labda, yaweza kuwa ndio sababu. Itumie kwa kuunga vifurushi vya internetvya kawaia kwa muda fulani, Then jaribu tena huenda ikakubali
Mkuu mbona mpaka sasa kazi yangu hujakamilisha nini tatizo
Bonyeza *147*00# chagua namba 1 ofa cha chap hapo kuna vifurushi bomba .Ebu tusaidie mkuu tunajiungaje maana picha pekee hazitoshi mkuu.
Nikiingia hapo napata hivo hapo juu mkuu jimetuma screenshot hapo juu.Bonyeza *147*00# chagua namba 1 ofa cha chap hapo kuna vifurushi bomba .
Mkuu mbona mpaka sasa kazi yangu hujakamilisha nini tatizo
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Noma sana ani...Tayari ashapigwa mtu