Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
Bado naendelea kufanya majaribio.mshale lazima ulale kushoto mkuu
- Video qulity : 1440p, bila shida. | Kweny laptop
- 720p | kwenye TV iko vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado naendelea kufanya majaribio.mshale lazima ulale kushoto mkuu
Hongera mkuu..Bado naendelea kufanya majaribio.
- Video qulity : 1440p, bila shida. | Kweny laptop
- 720p | kwenye TV iko vizuri
View attachment 2749866
Yap mrejesho utakuwa ni mzito sana kwasababu kwenye swala langu la kujaza fomu muda mrefu bila kuhudumiwa kulikuwa kuna mengi nilikuwa siyajui ila sasa nimeyajua.Mrejesho mzito sana[emoji16][emoji16]nakazia tu mimi
Yap mrejesho utakuwa ni mzito sana kwasababu kwenye swala langu la kujaza fomu muda mrefu bila kuhudumiwa kulikuwa kuna mengi nilikuwa siyajui ila sasa nimeyajua.
Mkuu naziona kama 500-1000 jiji per Metre, Cat 6 ambazo zina uwezo wa kupelekea 10GBPS mpaka futi 164 kama mita 50 hivi. Pengine ukienda madukani bei ikawa rahisi zaidi.Ubarikiwe sana mkuu ,sijutii kuijua jf ukiwemo wewe...naona unazidi kunipa hamu niende kariokoo nikanunue hizi used wifi..kipengere sijajua urefu wa wire itakua bei gani naona kama zina bei ghari hivi.
Hizi share internet sometime speed test haikupi speed halisi uki download youtube pengine upate yote 10mbpsMrejesho
- Scars
View attachment 2749846
- Nimepata "mzigo" toka Airtel, nimejiunga na 70K package. Eneo langu lina 4G, na hii ndio kasi ninayopata, Inakidhi mahitaji yangu, kikubwa ni Unlimited.
View attachment 2749849
--
View attachment 2749852
Ni kwamba kuna baadhi ya vitu vinafanyika ila ngazi za juu zinakuja hazijui.Kama yapi mkuu
Mkuu naweza vip ku hide QR code ya wifi YANGU Ili mtu asiweze kushare parswod kwa mtu mwingneMkuu naziona kama 500-1000 jiji per Metre, Cat 6 ambazo zina uwezo wa kupelekea 10GBPS mpaka futi 164 kama mita 50 hivi. Pengine ukienda madukani bei ikawa rahisi zaidi.
Hio ni feature ya android sidhani kama inawezekana.Mkuu naweza vip ku hide QR code ya wifi YANGU Ili mtu asiweze kushare parswod kwa mtu mwingne
Kwenye hizo router si kuna administrator control ambayo inakuwezesha ku login kupata full control?Mkuu naweza vip ku hide QR code ya wifi YANGU Ili mtu asiweze kushare parswod kwa mtu mwingne
Sawa chief ..mita 50 inatosha kabisa..ngoja nifanye mchakato.Mkuu naziona kama 500-1000 jiji per Metre, Cat 6 ambazo zina uwezo wa kupelekea 10GBPS mpaka futi 164 kama mita 50 hivi. Pengine ukienda madukani bei ikawa rahisi zaidi.
Mimi rooter yangu sijui isp wafunga aacces inagoma kulog in yaani mpaka uwapigie wenyewe hata ukitaka badili passwordHio ni feature ya android sidhani kama inawezekana.
Kuna router inaonesha watu wote walioconect unaweza ukamtoa mtu usiyemtaka, mostly wanaonekana kwa Mac zao. Kama humanage watu wengi hii inasaidia.
Ni model gani? Hata TTCL kwangu walikataa, ila nimefanya mambo yangu nikapata access, kama hawajabadili ile ya mwanzo tunaweza ipata kama walibadili ngumu kupata.Mimi rooter yangu sijui isp wafunga aacces inagoma kulog in yaani mpaka uwapigie wenyewe hata ukitaka badili password
Nahisi hawajabadili ni hii hapa mkuu..Ni model gani? Hata TTCL kwangu walikataa, ila nimefanya mambo yangu nikapata access, kama hawajabadili ile ya mwanzo tunaweza ipata kama walibadili ngumu kupata.
Alternative ukiweka router nyengine fanya mambo yako huko na hii router mama ifanye kazi zako binafsi.
Poleee mkuu bei imesimama sio mchezoZanlink wananiambia mpaka wafanye survey kunifungia fiber..
Package yao inaanzi 118$ ni unlimited
20Mb/s..
Hapo bado installation fee.
Unguja hapa
Waaah!bei ya moto mno...Poleee mkuu bei imesimama sio mchezo
Hakikisha upo connected na wifi yako ingia kwenye browser type hio ipNahisi hawajabadili ni hii hapa mkuu..View attachment 2750350