Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

TTCL miyeyusho yao ni ipi mkuu?? network yana speed si zipo poa au??? manake mtaani kwetu jana wamepitisha izo fiber bado tu kuconnect router tuanze kutumia so i think by tomorrow watakuja kumalizia kufunga manake leo sikukuu.
Kero ya TTCL ipo kwenye kucheleweshwa kupatiwa fiber uliyo request.

Lakini kwa maeneo kama ya Kariakoo huko wamekuwa waki respond haraka sana.

Kama na wewe upo maeneo kama hayo basi itakuwa ni uhakika, ila kama ni tofauti ma hapo basi hiyo minyaya yao haitakiwa na faida yeyote.
 
Kero ya TTCL ipo kwenye kucheleweshwa kupatiwa fiber uliyo request.

Lakini kwa maeneo kama ya Kariakoo huko wamekuwa waki respond haraka sana.

Kama na wewe upo maeneo kama hayo basi itakuwa ni uhakika, ila kama ni tofauti ma hapo basi hiyo minyaya yao haitakiwa na faida yeyote.
Sawa ngoja niwasikilizie iyo kesho tuone itakuaje
 
TTCL miyeyusho yao ni ipi mkuu?? network yana speed si zipo poa au??? manake mtaani kwetu jana wamepitisha izo fiber bado tu kuconnect router tuanze kutumia so i think by tomorrow watakuja kumalizia kufunga manake leo sikukuu.
Mitaa ipi mkuu...

Maana sisi wa peripherals tuna njaa nao kwelikweliii
 
Bora supakasi kuliko manyaya ya TTCL
TTCL miyeyusho yao ni ipi mkuu?? network yana speed si zipo poa au??? manake mtaani kwetu jana wamepitisha izo fiber bado tu kuconnect router tuanze kutumia so i think by tomorrow watakuja kumalizia kufunga manake leo sikukuu.
TTCL hangaika upate tu, ila Fiber yao ipo vizuri, kifupi fiber zote Tanzania zipo vyema sana, kama unaconect wired ping ni ndogo sana most of time 2ms hakuna internet ya wireless inafika hapo.
 
TTCL hangaika upate tu, ila Fiber yao ipo vizuri, kifupi fiber zote Tanzania zipo vyema sana, kama unaconect wired ping ni ndogo sana most of time 2ms hakuna internet ya wireless inafika hapo.
Mkuu je sehemu isiyo fika fiber hao TTCl wanafika?
 
Bei chee itategemea na eneo ambalo upo.

Kama upo DSM maeneo ya Sinza, Masaki, Mbezi, Kawe nk. Huko kuna Fiber ambazo vifurushi vyao ni kuanzia 70K na installation haizidi 200,000

Maeneo hayo pia hata TTCL wapo na wana package za 55K ila sijawaweka kipaumbele kwasababu ni miyeyusho. Hawaaminiki.

Tofauti na hapo hakuna kifurushi cha unlimited unachoweza kupata below 70K

Kama ni ushauri ni bora ukatafuta 110K uchukue Router ya Airtel yenye 30Mbps ambapo baada ya mwezi utaweza kununua package ya 70K kama 110K inakuwa ngumu ku afford.

Ila kama ukiwa maeneo ya biashara una ofisi yako basi unaweza ku share na majirani zako wakawa wanakulipa buku buku ambazo utakuwa unalipia kifurushi mwisho wa mwezi.
Hiyo router ya airtel ya 30mbps hata huku shamba kwetu kinyerezi kifuru inaweza kupiga 5G mkuu?
 
Back
Top Bottom