Eric Banks
Senior Member
- Jun 4, 2015
- 174
- 245
Una uzoefu na TTCL kwenye suala la speed na network nataka nifahamu kabla hawajaja iyo kesho kama ni longolongo watoe tu fiber yao.Bora supakasi kuliko manyaya ya TTCL
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uzoefu na TTCL kwenye suala la speed na network nataka nifahamu kabla hawajaja iyo kesho kama ni longolongo watoe tu fiber yao.Bora supakasi kuliko manyaya ya TTCL
Kero ya TTCL ipo kwenye kucheleweshwa kupatiwa fiber uliyo request.TTCL miyeyusho yao ni ipi mkuu?? network yana speed si zipo poa au??? manake mtaani kwetu jana wamepitisha izo fiber bado tu kuconnect router tuanze kutumia so i think by tomorrow watakuja kumalizia kufunga manake leo sikukuu.
Sawa ngoja niwasikilizie iyo kesho tuone itakuajeKero ya TTCL ipo kwenye kucheleweshwa kupatiwa fiber uliyo request.
Lakini kwa maeneo kama ya Kariakoo huko wamekuwa waki respond haraka sana.
Kama na wewe upo maeneo kama hayo basi itakuwa ni uhakika, ila kama ni tofauti ma hapo basi hiyo minyaya yao haitakiwa na faida yeyote.
Mitaa ipi mkuu...TTCL miyeyusho yao ni ipi mkuu?? network yana speed si zipo poa au??? manake mtaani kwetu jana wamepitisha izo fiber bado tu kuconnect router tuanze kutumia so i think by tomorrow watakuja kumalizia kufunga manake leo sikukuu.
Bora supakasi kuliko manyaya ya TTCL
TTCL hangaika upate tu, ila Fiber yao ipo vizuri, kifupi fiber zote Tanzania zipo vyema sana, kama unaconect wired ping ni ndogo sana most of time 2ms hakuna internet ya wireless inafika hapo.TTCL miyeyusho yao ni ipi mkuu?? network yana speed si zipo poa au??? manake mtaani kwetu jana wamepitisha izo fiber bado tu kuconnect router tuanze kutumia so i think by tomorrow watakuja kumalizia kufunga manake leo sikukuu.
Mkuu je sehemu isiyo fika fiber hao TTCl wanafika?TTCL hangaika upate tu, ila Fiber yao ipo vizuri, kifupi fiber zote Tanzania zipo vyema sana, kama unaconect wired ping ni ndogo sana most of time 2ms hakuna internet ya wireless inafika hapo.
Yap ila kwa manenoMkuu je sehemu isiyo fika fiber hao TTCl wanafika?
Ndo maana washamba sana ngoja ni baki na supa kasi yangu maana kwa siku nasukuma hadi gb 48Yap ila kwa maneno
Mi nilichukia tarehe 22 mpaka sasa nimetumia 700GBNdo maana washamba sana ngoja ni baki na supa kasi yangu maana kwa siku nasukuma hadi gb 48
Mi jana ndani ya masaa matatu na nusu nmeshusha 279GBMi nilichukia tarehe 22 mpaka sasa nimetumia 700GB
Kamua kaka hiyo ndo inavotakiwa kesho nimepanga nidownload movie zilizo toka mwaka huu na series zote na magemu ya gb 40 na kuendeleaMi nilichukia tarehe 22 mpaka sasa nimetumia 700GB
Naam ndo inavotakiwa hii raha sana kuliko manyaya ya TTCL ni kausha damuMi jana ndani ya masaa matatu na nusu nmeshusha 279GB
Hiyo router ya airtel ya 30mbps hata huku shamba kwetu kinyerezi kifuru inaweza kupiga 5G mkuu?Bei chee itategemea na eneo ambalo upo.
Kama upo DSM maeneo ya Sinza, Masaki, Mbezi, Kawe nk. Huko kuna Fiber ambazo vifurushi vyao ni kuanzia 70K na installation haizidi 200,000
Maeneo hayo pia hata TTCL wapo na wana package za 55K ila sijawaweka kipaumbele kwasababu ni miyeyusho. Hawaaminiki.
Tofauti na hapo hakuna kifurushi cha unlimited unachoweza kupata below 70K
Kama ni ushauri ni bora ukatafuta 110K uchukue Router ya Airtel yenye 30Mbps ambapo baada ya mwezi utaweza kununua package ya 70K kama 110K inakuwa ngumu ku afford.
Ila kama ukiwa maeneo ya biashara una ofisi yako basi unaweza ku share na majirani zako wakawa wanakulipa buku buku ambazo utakuwa unalipia kifurushi mwisho wa mwezi.
Hii takataka ya gb watu washanuka kwa sasa wengi wanapambana wapate unlimited kwa gharama yoyoteHALOTEL
GB 40 - BEI 45000/=
GB 38 - BEI 42000/=
GB 23 - BEI 27000/=
GB 15 - BEI 20000/=
GB 7 - BEI 13000/=
GB 15 DAKIKA 1100 SMS 1000 - BEI 23000/=
Vodacom gb 9.8 tsh 20000 MWEZI
Router au fiber?Mi jana ndani ya masaa matatu na nusu nmeshusha 279GB
5G hata maeneo nilipo haishiki lakini natumiaHiyo router ya airtel ya 30mbps hata huku shamba kwetu kinyerezi kifuru inaweza kupiga 5G mkuu?
Inaitwa wifi analyzier...ipo playstore but yakulipia...mimi nimetafuta mod iliyokuwa paid tayariHiyo App inaitwaje mkuu?
Saizi kipengele ni external tu maana niliyonayo ina capacity ya 500GBKamua kaka hiyo ndo inavotakiwa kesho nimepanga nidownload movie zilizo toka mwaka huu na series zote na magemu ya gb 40 na kuendelea
Ahsante mkuu,so hiyo router ina option ya 4G na 5G inategemea na eneo5G hata maeneo nilipo haishiki lakini natumia