Momentuum
Member
- Jun 16, 2020
- 69
- 111
Achana nayo skip io hatuaNikiingiza namba inaniambia 'Invalid agent number'
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana nayo skip io hatuaNikiingiza namba inaniambia 'Invalid agent number'
Ni zali kweli mpaka muda huu hatuaminiUliwapata kama zali la mentali
Hamna kiongozi Kaka ni kuna mdada ndo mkuu wa kitengo flani cha fiber, anakaa mtaa wa pili ndo tulikomaa nae tulimkuta anafunga kwake..Mtaani kwenu kuna kiongozi gani maarufu?
Sawa nitajaribu iyoAngalia properties za Router yako kama kuna remotely access
Aaah weeeeh[emoji38][emoji38][emoji38]Nimeichukua ikiwa haina line, Hizi router si unaweka tu line ya voda yenye bando kwisha kazi. Naongelea kwa mwenye line ya supa kasi na anataka router ndo itamfaa ni plug and surf tu
Nitaka nishangae yani watu tusote kwa miaka halafu we upate kiujeje tuHamna kiongozi Kaka ni kuna mdada ndo mkuu wa kitengo flani cha fiber, anakaa mtaa wa pili ndo tulikomaa nae tulimkuta anafunga kwake..
Inawezekana sababu mambo yameenda fasta sana ndani ya wiki 1 na nusu nyumba zote 5 pale mtaani zishawekewa.Nitaka nishangae yani watu tusote kwa miaka halafu we upate kiujeje tu
Na huyo dada usikute anatoka na manager wa TTCL na ndio maana jambo limeenda haraka.
TTCL fiber ama copper?Wadau mnisaidie, ivi inawezekana kui manage router(TTCL) kupitia smartphone yangu? Chief-Mkwawa Scars
TTCL fiber mkuuTTCL fiber ama copper?
192.168.100.1 most of time ni hio ip na user na pass ni superTTCL fiber mkuu
Ina storage ya ngapiTangu ninunue router na kupata unlimited, simu yangu inajaa muda wote nimepunguza apps nyingi nazopenda nimefuta video pictures lakini nikikaa saa chache inajaa tena.
Inaweza ikawa inasababishwa na nini?
Na solution yake ni ipi?
Setting kisha storage angalia humo nini kinajaza.Tangu ninunue router na kupata unlimited, simu yangu inajaa muda wote nimepunguza apps nyingi nazopenda nimefuta video pictures lakini nikikaa saa chache inajaa tena.
Inaweza ikawa inasababishwa na nini?
Na solution yake ni ipi?
@Chief-Mkwawa Toka nimeingiza update kwenye simu yangu haitaki kuupdate apps nikiupdate inaishia kuzunguka tuu, baada ya kuiupdate pia imepanda kwenye 5GSetting kisha storage angalia humo nini kinajaza.
Angalia setting za internet kwanza hakikisha Apn yako ni Internet na sio wap ama web, sometime husababisha hili@Chief-Mkwawa Toka nimeingiza update kwenye simu yangu haitaki kuupdate apps nikiupdate inaishia kuzunguka tuu, baada ya kuiupdate pia imepanda kwenye 5G
Ni Samsung A73 mkuu nimekua najaribu mara kwa mara na kurestart sim ila nikijaribu tuu kuupdate inakua pending muda wote, naomba kama naeza pata msaada ili apps zangu ziwe updated Mkuu
Shukran Mkuu solvedAngalia setting za internet kwanza hakikisha Apn yako ni Internet na sio wap ama web, sometime husababisha hili
Pia angalia kama una pending update, kama kuna update moja inasumbua zinazofuatia zote zitaandika pending, uki cancel inayosumbua nyengine automatic zitaendelea, shortcut hapa una clear cache za playstore na play service ambazo unazipata settings kisha apps.
Mkuu taja mtaa kama hutajali unaweza kuta na sisi ni majirani zenu tunifaike na huu mserereko[emoji23][emoji23]Inawezekana sababu mambo yameenda fasta sana ndani ya wiki 1 na nusu nyumba zote 5 pale mtaani zishawekewa.
Shida ilikuwa nn mkuu na umefanyaje ili iwe faida na kwa wengine mkuu[emoji23]Shukran Mkuu solved