Bujoro
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,115
- 2,231
Au wanataka utoe chochote kitu kwa mmoja ili umshikishe maana mkono mtupu haulambwi wanajikuta kama wanakufaidisha vile utazani sio haki yako.Hayo ndio majibu waliyonipatia nilipowaendelea kuomba huduma yao.