Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Screenshot_20240906-145633.png
Screenshot_20240906-145650.png
 
[emoji845]OFA OFA OFA [emoji3533]ZA LEO BEI CHEE SAWA NA BURE KWA HALOTEL Malipo baada ya kazi, Karibuni.

GB ZA HALOTEL WIKI 2
GB5=5,000
GB6=6,000
GB7=7,000
GB8=8,000
Gb10=10000.

GB ZA HALOTEL MWEZI
Gb10= 10000
GB15=15000
GB20=20,000
GB25=24,000
Gb30=27,000
GB40=35,000
Gb45=38,000
Gb60=49,000
Gb90=70,000
Gb120=95,000
Ni chapu.. Uaminifu ndo siraha yetu, mambo iko huku we una subiri nini usajili sasa laini ya halotel leo usipitwe na uhondo, kabla bei hazijabadika
[emoji338] 0618279799
0712776823
 
Sasa mkuu kuna scenario imenitokea hapa kwenye 10. Mimi nimetuma 5 na majibu nimetumiwa 5. Nimetaka kutuma ya sita wamesema salio halitoshi.

Hiki kitu kinawezekana kweli?
Hii scenario ni rahisi kuielewa ukiwa na Kinokia cha zamani.

Ila kwa ufupi tu ni hivi. message za kawaida huwa zina limit ya characters 160. Hivyo ukiandika herufi pamoja space zikizidi tu 160 hapo inahesabu kama message 2 katika message moja (multi-part message).
Herufi na space zinavyozidi kuwa nyingi ndivyo vipande vya message vinazidi kuwa vingi.

Mfano salio una message 10.
Ukaandika sms yenye urefu wa characters 200 ukaituma, ukija kuangalia salio tena utakuta umebakiwa na message 8
 
Hii scenario ni rahisi kuielewa ukiwa na Kinokia cha zamani.

Ila kwa ufupi tu ni hivi. message za kawaida huwa zina limit ya characters 160. Hivyo ukiandika herufi pamoja space zikizidi tu 160 hapo inahesabu kama message 2 katika message moja (multi-part message).
Herufi na space zinavyozidi kuwa nyingi ndivyo vipande vya message vinazidi kuwa vingi.

Mfano salio una message 10.
Ukaandika sms yenye urefu wa characters 200 ukaituma, ukija kuangalia salio tena utakuta umebakiwa na message 8
Ambao hawakutumia vitochi hawawezi elewa..

Enzi hizo ukituma sms ndefu inaenda vipande vipande😂

Au ukitumiwa sms ndefu, inakuja nusu nusu, unasoma hii inakatikia njiani, unaenda kufungua sms ingine yenye muendelezo..
 
Hii scenario ni rahisi kuielewa ukiwa na Kinokia cha zamani.

Ila kwa ufupi tu ni hivi. message za kawaida huwa zina limit ya characters 160. Hivyo ukiandika herufi pamoja space zikizidi tu 160 hapo inahesabu kama message 2 katika message moja (multi-part message).
Herufi na space zinavyozidi kuwa nyingi ndivyo vipande vya message vinazidi kuwa vingi.

Mfano salio una message 10.
Ukaandika sms yenye urefu wa characters 200 ukaituma, ukija kuangalia salio tena utakuta umebakiwa na message 8
Wakuu shida sio characters, kwani characters zikiisha kuingia sms ya pili na kuendelea si hata smartphone inaonesha.
Huu mtandao itatokea tena tu ntaileta hapa
 
Katika mapinduzi mapya yaliyotangazwa na @Tigo_TZZ ambao ni Mtandao namba 1 kwa internet yenye kasi zaidi Nchini Tanzania kwa mujibu wa Ookla, Wakazi wa maeneo ya Mbweni, Boko na Bunju wamependelewa kwa kuwekwa kwenye kundi la kwanza la Watanzania watakaofaidi huduma mpya ya kusambaziwa Internet kwa waya ( fiber) majumbani na maofisini kwa gharama ya shilingi elfu 70 peke yake.

Huduma ya FIBER imeanza kutolewa ikiwa ni miezi kadha toka Tigo walipotangaza kuwekeza mabilioni ya shilingi za Kitanzania kwenye teknolojia na mitambo yao ili kuongeza kasi ya huduma zake za mawasiliano pamoja na internet yenye kasi.

Mpango uliopo ni kuisambaza FIBER INTERNET Nchi nzima lakini kwa sasa bahati imeanzia kwa Wakazi wa Mbweni, Bunju na Boko katika Ofisi zao zilizopo maeneo hayo au Nyumba za makazi, wataanza kunufaika na huduma hiyo ya intaneti ya uhakika na isiyo na kikomo kwa shilingi elfu 70.

Wateja wanaohitaji kuunganishwa wanaweza kuwasiliana na Tigo moja kwa moja kwa njia ya Whatsapp namba 0714-100-100 au kupiga namba 100 huduma kwa Wateja au email prepaidfiber@tigo.co.tz #MillardAyoUPDATES
 
Back
Top Bottom