Ifururu
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 562
- 658
Napataje hiiWakuu kuna mdau anaeunga bundle la ttcl kitonga huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napataje hiiWakuu kuna mdau anaeunga bundle la ttcl kitonga huku
Yuko wapi huyo?Wakuu kuna mdau anaeunga bundle la ttcl kitonga huku
watu bado wanakula maisha na Voda😄😄Vpn bado zinafanya kazi?
Duh Mkuu Hebu Nitajie Hiyo VPN ya Voda Namimi Nijilie Vyangu maana Tigo halotel airtel zote zimegomawatu bado wanakula maisha na Voda😄😄
Akisema tu, haichukui masaa 24 inapigwa chiniDuh Mkuu Hebu Nitajie Hiyo VPN ya Voda Namimi Nijilie Vyangu maana Tigo halotel airtel zote zimegoma
hata ukitajiwa vpn bado hauwezi kupata free net kiwepesi hivyoDuh Mkuu Hebu Nitajie Hiyo VPN ya Voda Namimi Nijilie Vyangu maana Tigo halotel airtel zote zimegoma
hii inchi wajinga ni wengi sanaAkisema tu, haichukui masaa 24 inapigwa chini
Bhasi mzee Nicheck DM ni Muhimu MkuuAkisema tu, haichukui masaa 24 inapigwa chini
Hapana Nilikuwa Natumia Tigo na Airtel Ilkuwa Ni Free net na nilikuwa Naingia Kila sehemu na Nilikuwa Sijawahi kulipa tigo internet na Airtel nina mwaka na sehemu mpaka walipozifungiahata ukitajiwa vpn bado hauwezi kupata free net kiwepesi hivyo
Watu wajinga walichomesha.. kwa socksip speed ilikua inafika MB 20 na ilikua ni UDP.. watu walirepot sana wiretun miaka ya nyuma uko na haikufungiwa ila wadau walipoanza kutumia vps na socksip(built-in servers) haikuchukua mdaHapana Nilikuwa Natumia Tigo na Airtel Ilkuwa Ni Free net na nilikuwa Naingia Kila sehemu na Nilikuwa Sijawahi kulipa tigo internet na Airtel nina mwaka na sehemu mpaka walipozifungia
Hivi inawezekana Kutumia Tena VPNWatu wajinga walichomesha.. kwa socksip speed ilikua inafika MB 20 na ilikua ni UDP.. watu walirepot sana wiretun miaka ya nyuma uko na haikufungiwa ila wadau walipoanza kutumia vps na socksip(built-in servers) haikuchukua mda
ndio ila gharama ni kubwa sana... mfano zipo host kama nne ila hadi ufanikiwe kuzipotisha unaweza tumia zaidi ya $25 😄Hivi inawezekana Kutumia Tena VPN
Duh Aisee kweli Sema IT mnatuangusha sana...ndio ila gharama ni kubwa sana... mfano zipo host kama nne ila hadi ufanikiwe kuzipotisha unaweza tumia zaidi ya $25 😄
Mimi sio mwana IT ila hapo kwenye kutafuta host ni zaidi ya kisanga😄Duh Aisee kweli Sema IT mnatuangusha sana...
Inatakiwa Mtoe hata Mbili au tatu za Tigo na mitandao mingine hawawezi kuzigunga zote
Kwa sasa Tanzania tunauhitaji wa Internet ya uhakika tu na si kingine...Starlink anakaribia kutia mguu Tanzania
Hii nzuri sana sema tatizo serikali ilivyo anza tamaa ya kuingilia huku naona speed skuizi wanaichezea wanavyotaka hao ukifikisha gb 400 speed ndogoJuzi nilijilipua na airtel kifurushi cha effu 70 mbps 10,so far naenjoykutegemea na ninapishi na ile internet ya kadlsi interneet ya voda kifurushi cha elfu 50 wanakupa gb 24 zikiisha speed inapungua,24 kwqngu gb 24 zilikua zinaisha siku 2 halafu zinabaki siku 28 za matesoView attachment 3153513
Serikali inaingiaje, mkuu? Maana hii hainiingi akilini, kwa nini serikali iwaambie Airtel waweke kikomo lakini wasiwape masharti hayo hayo Vodacom na Tigo (ambao nao pia wanatoa huduma hii hii)?Hii nzuri sana sema tatizo serikali ilivyo anza tamaa ya kuingilia huku naona speed skuizi wanaichezea wanavyotaka hao ukifikisha gb 400 speed ndogo