Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Rudini Nyumbani kumenoga. TTCL
Imebidi nirudi kuangalia USSD menu ya TTCL kwa makini. Hawana lolote, nao ni walewale, lao moja na mitandao mingine kukandamiza wananchi.

Rates zao ni kama mitandao mingine (245MB = sh. 500, na 1GB = sh. 2,100).

Wafanye basi angalau rate iwe 300MB kwa sh. 500. Rate hii angalau itawapa nafuu wananchi. Wananchi wengi hawamudu kununua pocket Wi-Fi na 5G router kwa ajili ya vifurushi vya mwezi kutokana na hali halisi ya Tanzania.

TTCL ilitakiwa iwe mfano mzuri kwa mitandao mingine kama kampuni ya serikali yenye mamlaka ya kiuchumi na mtaji mkubwa. Lakini baadala yake imekuwa mfano wa hovyo. Vocha zake kupatikana shida, network signal inakatakata, comissions kwa mawakala hazieleweki n.k. Kifupi wafanyakazi wa serikali wanafanya kazi kwa mazoea na kutegeana. Wanajua wafanye kazi au wasifanye, mshahara mwisho wa mwezi unaingia.

Baadhi ya kampuni za serikali zimeoza.
 
Imebidi nirudi kuangalia USSD menu ya TTCL kwa makini. Hawana lolote, nao ni walewale, lao moja na mitandao mingine kukandamiza wananchi.

Rates zao ni kama mitandao mingine (245MB = sh. 500, na 1GB = sh. 2,100).

Wafanye basi angalau rate iwe 300MB kwa sh. 500. Rate hii angalau itawapa nafuu wananchi. Wananchi wengi hawamudu kununua pocket Wi-Fi na 5G router kwa ajili ya vifurushi vya mwezi kutokana na hali halisi ya Tanzania.

TTCL ilitakiwa iwe mfano mzuri kwa mitandao mingine kama kampuni ya serikali yenye mamlaka ya kiuchumi na mtaji mkubwa. Lakini baadala yake imekuwa mfano wa hovyo. Vocha zake kupatikana shida, network signal inakatakata, comissions kwa mawakala hazieleweki n.k. Kifupi wafanyakazi wa serikali wanafanya kazi kwa mazoea na kutegeana. Wanajua wafanye kazi au wasifanye, mshahara mwisho wa mwezi unaingia.

Baadhi ya kampuni za serikali zimeoza.
Mimi niko arusha huu mwaka wa4 natumia TTCL mwanzo network iliuwa mzozo ila bei ya vifurushi ilikuwa nafuu ila tangu mwaka jana network imeimarika na vifurushi vikapanda kama mitandao mingine,, kuhusu vocha unawez kununua kwenye mitandao mingine haina usumbufu kabisa na hususan kwa sasa vocha ya karatasi imekuwa adimu sana.. Ninacho wapendea TTCL ni vifurushi vyao vingi havina ukomo wa matumizi hii huduma ndio imenishikilia hapo
 
Mjini naona Kuna kazi kubwa kutandaza fiber. Naona ISP mpya anaingia kwa fujo zote. Nimejaribu kuulizia kwa kudhani kuwa halotel kwa zile fiber zao za orange. But ni isp mpya anaitwa Savanna fiber. Tuone atakuja na nn kipya.
 
IMG_0279.jpeg

Yaani Hawa savanna wanakuja kuuwa market kabisa. Hata ttcl mwenyewe yupo nyuma 😅
 

Line za M2M wakubwa karibuni
 

Line za M2M wakubwa karibuni
Hizi ndio zile za Unlimited 50K?
 
Back
Top Bottom