Vigezo na sifa za Mwanamke wa kuoa kwa 2024 - 2050

Njoo nikuajiri uwe na vigezo kamili.
 
njoo baby tuongee achana na mleta uzi Hannah ina nambato hatari
 
Hayana mwongozo mkuu
 
UKIOA MWANAMKE ASIYEKUWA NA BIKRA..UJUE UMEOA MKE WA MTU, MAJI HAYASAHAU UBARIDI.. UKWELI MCHUNGU HUU
 
Kuna mabikra washaumizwa wanaungua ktk mahusiano wanapenda kweli ila kwakutokutoa sex wanaachwa hapo amna heartbroken?
 
Wakati nasoma uzi huu nilikuwa nawaza kama wewe yaani
Hizi ni ndoto za alinacha kabisa..
Vijana tuanze kuishi zaidi ya kuimagine..
Naona kuna makosa ya kimkakati juu ya ndoa..
Nadhani ndoa za mikataba zitàanza kuchukua sura ya kuwa ukombozi ni suala la muda tu
Mambo yote yatakuwa hadharani
Heshima kwako mkuu..
 
Niambie mkuu
I Feel your presence mkuu
And I appreciate that,,
Ujue humu mitandaoni ñakaribia kusign out forever maana taarifa nyingi ni non-critical kitu ambacho kinamislead hata tuliokuwa na misingi mizuri ya maisha yetu..
Ndoa imefikia hatua wanawake wanasoma mitandaoni na kwenda kufanya practice kwenye ndoa zao..
Mwalimu mmoja aliwahi niambia,,
Hebu tazama zile tamthiliya na movie ambazo characters wake hawadisplay negativity yoyote ukianzia kwenye maisha unakuta ni high life mahusiano unakuta ni angelic love.
Kama ni projects pushing unakuta chance of survival ni kubwa sana..
Akaniuliza umewahi kuona wakikuonesha kazi wanazofanya zinazolead wao kuishi zile standards??
Nikamwambia noo..
Akasema and thats a setup to some stupid boys and foolish girls..
Daah tangu hapo nikikuta manzi wangu hata kaja gheto au time zile niko na wife unakuta kajaza yale maseason ya kihindi had maepisode 800 eti anafuatilia..
Nilikuwa nawaza tu hivi hizi season zinaninyang'anya mke very soon.
Yaani anaanza kusaka Boyii ambae atakuwa anamcare kama vile kwenye tamthiliya..
Na hapo ndipo new guy hujump in na kujichukulia pwenti tatu za muhimu..
Manzi anakuja kushituka kuwa kumbe hakumpata yule wa kwenye tamthiliya ashaliwa na kwangu kashakunya sana shiti na tambo za bata.

Mwishoni anarealize kuwa I was and I am the man she should live long with,, too late hapo upo na manzi mwingine tena..
So itategemea kama huyu mwingine ashafanya usengerema kama wa yule ndio itakuwa tiketi ya yeye kutulia.
 
Mkuu ila wapo wanawake wana akili sana na wanajua maisha yapoje, katikati ya mamba hata kenge wamo.
 
Mkuu ila wapo wanawake wana akili sana na wanajua maisha yapoje, katikati ya mamba hata kenge wamo.
Wanakuwa na akili sana.. elewa akili sana..
Lakini changes huanza kupitia vitu hivi,, Sinema, Friends influences,, Wanaume wanaomuona daily akienda sokoni either kwa mguu au kwa boda..
Ndugu zake wanapoanza kumuweka kwenye kamati zao familia wakijisahaulisha kuwa huyo sio sehemu ya familia yao..

Tunakosea sana pale tunapooa wanawake halafu hatuwaambii ukweli huu wao na ndugu zao,,

Kuwa nimekuoa leo hivyo nimekuondoa rasmi kwenye hii familia ya mzee Longilai na umehamia familia ya Lekamoi..

Hivyo chochote kinachotokea kule kwa Longilai hakikuhusu.. mkubaliane wote kwanza yaani wewe, mkeo na ndugu zake.
Ukiona unapingwa na mmoja hapo either mkeo au ndugu zake ujue hapo hujaoa bali umekopeshwa mke maanake ataendelea kutumika kwao..

Yaani mama mkwe anatakiwa akupigie simu au baba mkwe kukuomba kama itakupendeza uende wewe na mkeo kuna jambo la maana sana upande ule
Hivyo ninyi ni washirikishwaji..
Ndio maana ya mahari unayolipishwa mkuu..

So kabla hujamlipia mahari mkubaliane kwanza na mkataba uwekwe kuwa yeyote atakaeenda kinyume atalipa gharama za huo mkataba..
Hakuna kutapeliana kifara eti binti anaozwa kwa Juma anakaa mwaka anarudi nyumbani na baadae anaozwa tena kwa Samweli eti ameokoka so kaachana na ndoa ya kiisilamu.
Wazazi wanatake advantage ya upisi wa binti zao kuwataPeli washikaji..
So kabla ya kulipa mahari mshenga anatakiwa apresent matakwa ya muoaji yaliyopo kwenye mkataba..
Hawataki tuendelee kuchapa mwingine maana wakwao kashaliwa papuchi kwa mwendo wa 5G.
Tunahamia kwa mwingine.
Usimtazame kwa huruma maana wao hawakutazami kwa huruma yoyote ile bali wao wanaangalia watanufaika vipi na wewe baada ya kuwa wamekuwekea kamba ambayo ni binti yao.
 
Uzi mgumu sana huu, unaumiza kichwa, maake yaliyoandikwa humu yote ni nadharia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…