Vijana 2 wachomwa moto kwa madai ya wizi wa simu Arusha

Vijana 2 wachomwa moto kwa madai ya wizi wa simu Arusha

Vijana wawili ambao majina yao hayajafahamika wamechomwa moto wao na pikipiki waliyokuwa wakiitumia katika eneo la Shivaz katika kata ya Kaloleni Mkoani Arusha wakidaiwa kuiba simu

Lilia Shayo amesema vijana hao walikuwa wamemuibia mwananchi mmoja simu na wakati wanakimbia walizuiwa na wananchi nakuanza kuwashambulia.


Wiki mbili zilizopita vijana wengine wawili walinusurika kuuawa huku risasi moja ikifyatuliwa hewani baada ya vijana hao kuiba simu jambo lililopelekea wananchi kuichoma moto pikiiki waliyokuwa wanaitumia

Baada ya vijana hao kuchomwa moto walichukuliwa na askari wa jeshi la polisi baada ya wananchi wenye hasira kali kuwachoma moto.
Watumwa Kwa kutoa hukumu Kwa watumwa wenzao wako vizuri, na anasindikizwa na mapambio, Kila siku ubadhirifu wa mali za umma unafanyika na hakuna mwinyi anachomwa moto...

Wachaga wanaiharibu Tanzania ni muda wa kujitathmini..
 
Hivi ni matatizo ya akili au nini yaani kitendea kazi unacho badala kukitumia kwaajili ya kufanya shughuli halali ya bodaboda mtu unajiingiza kwenye uwizi
Mwafrika ni mtu wa hovyo sana. Tzama hata viongozi wetu wamekwapua ma bilioni y fedha lakini bado hawaridhiki na ukiwazuia kuingia madarakani wanakutoa roho.

Yaani wana mitaji ila wanakandamiza watoto wa maskini ndio wajiajiri ila wao hapana.

Sasa imagine mtu ana boda boda inayoingiza fedha kila siku lakini anataka za haraka haraka za kukwapua tu.

Juzi Dada yangu kakwapuliwa IPhone yake mchana kweupe saa nane.
 
Wanataka hela nyingi ya harakaharaka.
Kila siku mnawasimulia mambo ya kula mbususu na kula bata za pombe na mademu mkumbuke na wao wanatamani.

Kupenda Starehe wakati uwezo ni mdogo lazima uwe mwizi, fisadi, tapeli
 
Vijana wawili ambao majina yao hayajafahamika wamechomwa moto wao na pikipiki waliyokuwa wakiitumia katika eneo la Shivaz katika kata ya Kaloleni Mkoani Arusha wakidaiwa kuiba simu

Lilia Shayo amesema vijana hao walikuwa wamemuibia mwananchi mmoja simu na wakati wanakimbia walizuiwa na wananchi nakuanza kuwashambulia.


Wiki mbili zilizopita vijana wengine wawili walinusurika kuuawa huku risasi moja ikifyatuliwa hewani baada ya vijana hao kuiba simu jambo lililopelekea wananchi kuichoma moto pikiiki waliyokuwa wanaitumia

Baada ya vijana hao kuchomwa moto walichukuliwa na askari wa jeshi la polisi baada ya wananchi wenye hasira kali kuwachoma moto.
Huu ni upambavu mnakosa kuchoma wezi wa mabilioni nabwezi wa kura mnawauwa watu wanao tafuta hela ya kula ili wasife kwa njaa.
 
Vijana wawili ambao majina yao hayajafahamika wamechomwa moto wao na pikipiki waliyokuwa wakiitumia katika eneo la Shivaz katika kata ya Kaloleni Mkoani Arusha wakidaiwa kuiba simu

Lilia Shayo amesema vijana hao walikuwa wamemuibia mwananchi mmoja simu na wakati wanakimbia walizuiwa na wananchi nakuanza kuwashambulia.


Wiki mbili zilizopita vijana wengine wawili walinusurika kuuawa huku risasi moja ikifyatuliwa hewani baada ya vijana hao kuiba simu jambo lililopelekea wananchi kuichoma moto pikiiki waliyokuwa wanaitumia

Baada ya vijana hao kuchomwa moto walichukuliwa na askari wa jeshi la polisi baada ya wananchi wenye hasira kali kuwachoma moto.
Vijana wengi kama hawa unakuta ni Wa Single mazas
 
Huu ni upambavu mnakosa kuchoma wezi wa mabilioni nabwezi wa kura mnawauwa watu wanao tafuta hela ya kula ili wasife kwa njaa.
Wezi wa mabilioni hawaonekani kwa macho tunasimuliwa tu. Ila hawa wanaoibia wenzao waliochoka ndio watakuwa mfano
 
SAsa kuna trafiki wale wanaosimama stendi ya dodoma pale, aliporwa simu mchana kweupe.
Mimi pia niliporwa pale sabasaba keepleft ya SUA,pona yangu ni kwamba wakiwa katika harakati za kukimbia wakaidondosha simu yangu waliyonipora hivyo nikawahi kuikota.
🤣🤣🤣 Fala
 
Kwani kila mwenye v8 ni mwizi?
Kwa nchi kama tanzania ambayo kodi ni 30 % karibu kila kitu ili upate faidi ya milion 300 ya kununuwa v8 kuna mawili unajuwa unashirikiana na wezi wa kodi kukwepa kodi au wewe ni mwizi wa kodi.
 
SAsa kuna trafiki wale wanaosimama stendi ya dodoma pale, aliporwa simu mchana kweupe.
Mimi pia niliporwa pale sabasaba keepleft ya SUA,pona yangu ni kwamba wakiwa katika harakati za kukimbia wakaidondosha simu yangu waliyonipora hivyo nikawahi kuikota.
Hahaha....nimecheka
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anza wee kwani kujibu hapa.
Wezi wawe ni vibaka, majambazi, hadi hawa wanasiasa wanaokwapua mabilioni, ni watu hatari sana kwa uchumi wa mtu mmoja mmoja na wa taifa.
 
Back
Top Bottom