Kwa kweli maisha sio rahisi kiasi hicho..Kuna Dada mmoja haya Mambo ya kusafiri alisafiri mpaka Chato kumzika jiwe,,kumbe behind the scenes Hilo halikuwa lengoHahahahah hii ya kusafiri kuna mtu namjua huwa anaungaga sana hizo Marathon ila nae kaambulia patupu😅 ubao unasoma 0-0. Maisha sio mepesi jamani warembo mukaze tu
Haina issue zamani bila laki hueleweki siku hizi tunapigiwa simu kabisa na kuulizwa kwani hata 20 Hauna jamaniHahahahahah pisi kali mnaishi nazo kwenye Pubs😅
kuna kajamaa kangu nilisoma nako chuo kenyewe mkienda Bar kakilewa utaskia "of course mi ni afisa usalama" na maneno kama hayo,kalishika urafiki na jamaa wenye kazi serikalini mfano polisi so maboya kaliwaingiza kingiSasa hivi connections zimevamiwa. Unahitaji kutuliza akili kweli wakati unaanzisha mawasiliano na hao wadau mnaokutana nao kwa mara ya kwanza hotelini. Ukizubaa inakula kwako!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ndio moja ya connections hiyo ...unashangaaaLabda nyakati zenu, siku hizi hizo sehemu zimejaa mafirauni sana, ukienda kibwege bwege midingi itaanza kukukonyeza, kukuletea drinks na kukuachia namba za simu wakidhani unauza kiboga
Unaweza kukuta wameweka kibao hii raia hairuhusiwi humu ndani🤣Unaletewa menu unasema tulia ntakuita 😅 ukifululiza na huu ujinga siku 3 ukifika siku ya 4 wahudumu wanakupita tu kama hawakuoni hata hukaribishwi wala huulizwi kitu maana hata tip hutoi!
Word..Inawezekana ikawa kweli, ila ni wangapi wamefanikiwa kwa njia hii kati ya wengi. Inawezekana njia hii imemsaidia mtu fulani ila ni bahati tu imetokea kwake ikajadiliwa kazi au mchongo.
Maana Sasa kwenye festival utajuaje huyu Ni manager, director au Ceo mahali Fulani ? au Wanakuaga na label ?
Kwahiyo wewe Ni kuzunguka festival nzima kuomba na kuongelea shida ya kazi , kwelii ? [emoji1787][emoji1787]
Yaani mtu azunguke Kwenye mashughuli ya starehe yote ya mjini ili abahatishe kukutana na managers, Ceo , directors hata uhakika kwamba watakuwepo haupo na Wala hawajui.
Labda uniambie zile events za proffessionals nitakuelewa.
Mambo mengine Ni bahati tu, unaweza kukutana na muujiza wako wa kazi hata barabarani. Sio basi mtu akifanikiwa kwa njia hii na wewe unaanza kuzunguka barabarani eti barabarani Kuna connections [emoji3][emoji3]
Duniani lilia bahati mambo Mazuri yatakufuata haijalishi eneo, usisahau pia kufanya bidii Yenye akili. Ukiwa tayari umejipanga kupokea muujiza utapokujia.
Mzee baba hizo viwanja huwezi ukakuta bia inauzwa 3,500. Kama ilivyo ada, nakusogezea menu ya bia.Hivi kweli niache kunywa Serengeti lite hapa kwa mama Joy tena kwa buku jero then bia hiyo hiyo nikanunue kwa 3500 kwenye hizi hotels zako ???we endelea kuichezea hela yako ukitafuta connects
Jan tu nilikuwa mahali nacheki game za afcon kwa kweli jna niliamua tu kubadili sehemu mabanda umiza nikaenda kweny bar sas kilichotokea pale nilitoka saa Saba dkk 15 nilikutana na brzaa mojaa wote tunatizama mpira bas Yule jamaaa wkt was kubishana bishana mpira ikatokea kutokukubaliana na data zake ilinibid nijiunge bando tutafiti Zaid ...asie Yule brzaa Ana madini mbaya mbovu mtu smart sna katk kutafuta pesa na mishe mishe...niseme tu niliongeza mtu katk harakat hatari
hilo ndilo lengo la mleta uzi sasa,huenda amekosea tu jinsi ya kuwasilishJan tu nilikuwa mahali nacheki game za afcon kwa kweli jna niliamua tu kubadili sehemu mabanda umiza nikaenda kweny bar sas kilichotokea pale nilitoka saa Saba dkk 15 nilikutana na brzaa mojaa wote tunatizama mpira bas Yule jamaaa wkt was kubishana bishana mpira ikatokea kutokukubaliana na data zake ilinibid nijiunge bando tutafiti Zaid ...asie Yule brzaa Ana madini mbaya mbovu mtu smart sna katk kutafuta pesa na mishe mishe...niseme tu niliongeza mtu katk harakat zangu
Maisha yamebadilika sana kuaminiana kumepungua, huwezi kukurupikia watu huwajui na wanafanya mishe gani town, matokeo yake unaingizwa kwenye connections za kihalifu bila kujua unaharibu future yako yote,...kikubwa km walivyosema wadau hapo juu labda uanze kuwazoea watu taratibu kutokana na kushare kwenu interests like muziki au mpira na ukute mnakutana eneo la tukio mara kwa mara labda kwenye kupiga stories au kuchangia mada ndo ukute mnabadilishana taarifa ambazo zitakusaidia kupata connection, lakini utafanya mara ngapi na kwa watu wangapi?! Inabidi pia uvae joho la PhD ya uchawa, shobo na unafiki ndani yakeNdio mie nimeona sio practical sana unless home kwenu uwe mambo safi ukitekenya laki au 2 sio za shida. Ama uwe na kaishu kakukupa 20-30 za hapa na pale!
Vinginevyo kwa vijana wa zero-grazing inakuwa ngumu.
Uko sahihi kuna kijana mmoja wa kiumeni ndo zake anaenda huko kuwinda.Labda nyakati zenu, siku hizi hizo sehemu zimejaa mafirauni sana, ukienda kibwege bwege midingi itaanza kukukonyeza, kukuletea drinks na kukuachia namba za simu wakidhani unauza kiboga
😅 umesema kweli kabisa,kuna msela alinisimulia alikuwa zake Bar kubwa hana maelekezo,anapiga vant kubwa ili iishe aondoke,wakaja wadada mmoja wao ana pesa ila hawana kampani,yule kiongozi wao akamfuata mwana akaomba kampani yake,msela akakubali na wale wengine wakaja kujoin,jamaa alinuliwa vyombo kama vyote na yule manziMaisha yamebadilika sana kuaminiana kumepungua, huwezi kukurupikia watu huwajui na wanafanya mishe gani town, matokeo yake unaingizwa kwenye connections za kihalifu bila kujua unaharibu future yako yote,...kikubwa km walivyosema wadau hapo juu labda uanze kuwazoea watu taratibu kutokana na kushare kwenu interests like muziki au mpira na ukute mnakutana eneo la tukio mara kwa mara labda kwenye kupiga stories au kuchangia mada ndo ukute mnabadilishana taarifa ambazo zitakusaidia kupata connection, lakini utafanya mara ngapi na kwa watu wangapi?! Inabidi pia uvae joho la PhD ya uchawa, shobo na unafiki ndani yake
Walevi wapo vibanda vya gongo na chang'aa mkuu yani watu wamepaki seacliff wanakunywa wewe hapo sebleni kwa shemeji yako unamuita mleviUnategemea kupata connections kwa walevi?
Kwani nauli ya serena sh ngapi mkuuMtizamo wako ni wa kishamba sana we jamaa, sasa mtu hana ajira hela ya kwenda Serena hotel anaipata wapi?!
😂hili tusi ni maarufu humu,mtuache tunaishi kwa dada sio kwa shemejiWalevi wapo vibanda vya gongo na chang'aa mkuu yani watu wamepaki seacliff wanakunywa wewe hapo sebleni kwa shemeji yako unamuita mlevi
Mzee anadhani bado tupo enzi za akina Warioba/Msekwa, maisha yamebadilika sana! And bahati mbaya siku hizi kutoa kiboga siyo lazima uwe umelegea legea, unaweza ukajiaminisha unasura ngumu lakini bado watu "wakarara mbere" na weweUko sahihi kuna kijana mmoja wa kiumeni ndo zake anaenda huko kuwinda.
Na anawapata kabisa.