Vijana acheni kunywa bia kwenye vibanda umiza, connection zote za maisha zinapatikana katika mahotel makubwa hapa mjini

Vijana acheni kunywa bia kwenye vibanda umiza, connection zote za maisha zinapatikana katika mahotel makubwa hapa mjini

Kwa ufupi unakuta kijana kasoma chuo, kakaaa mtaani zaidi ya miaka tano (5) hana ajira, kijana huyuhuyu unamkuta kwa mangi ama kwenye baa za kawaida anafakamia kongagi ama K- vant kupunguza stress.

Sasa ngoja niwape siri ukitaka kufanikiwa mara moja moja tembeleeni hotel kubwa kubwa mfano ( sea cliff ama capetown) kule ukifika nunua bia yako hata moja (Heinekein ama Windhoek) zugazuga baadae jichanganye na wazee wanaofika maeneo hayo.

Trust me! Ukihudhuria maeneo hayo kwa wiki na ikatokea hujapata connection ya maana basi jua una mkosi mkubwa sana.

Nimemsaidia kijana miaka kadhaa ya nyuma na anahudumu katika serikali ya Mama Samia.

Sababu ya kuleta kisa hiki ni kwamba leo kanitumia milioni tano Cash kama shukrani.
Hiyo ni kweli,mwaka 2007 nilikwenda hotel moja jijini Arusha nikiwa na mdogo wangu mimi nikiwa ajirani tena ajira ilikiwa ya maana inayolipa kwa kipindi hicho, dogo langu ambae nae alikuwa amesoma elimu kama ya kwangu akitokea likizo ila alikuwa ameajiriwa kwenye taasisi yenye hali tete.So wakati tunagonga beer tukajikuta tunajumuika na watu mezani kwetu na wakati tunapiga story kumbe kati ya wale kulikiwa na HR wa shirika kubwa fulani Tanzania, kwenye stori ndo akatujulisha kuwa kuna nafasi za kazi shirikani kwao,kucheck vigezo dogo anavyo vyote.Duu akaambiwa kesho aende ofisini akafanye usahili atamsaidia endapo kutakuwa na shida.Hadi wa leo naongea dogo yupo job maisha fresh.
So kila nikipitaga maeneo ya Ile hotel naiona ajira ya dogo.
Sehemu kubwa ina mambo makubwa hakika

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Wakuu niwape code kitu cha kwanza mwanamke smart akitaka kujuwa huyu mwanaume ana pesa.Kitu cha kwanza anatazama kiatu na saa ya mkononi basi inampa picha mzima ulivo.Hii ni kwa wale wenye kuelewa code.

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Mwanamke anaetaka mwanaume mwenye pesa wakati yeye mwenyewe hana huyo ni gold digger..kaa mbali na ma gold digger...
 
NDUGU mtoa mada! Ahsante kwa ushauri wako mzuri kabisa na wenye manufaa kwenye kutengeneza mtandao wenye manufaa!
Sasa kwa sisi ambao sio watumia vilevi... Kama pombe nk...
Unatushauri kuingia kwa gia gani hayo maeneo! Ili tuweze kupata connection??
Non alcohol zipo nyingi,hata maji yanatosha,kuna chupa ya maji hii ya Kilimanjaro inauzwa mpk bk5,kijiwe kikichangamka wanunulie pombe wanaokunywa japo hii inaitwa pata potea kwn unawezajikuta umekaa na popo na kununulia pombe watu wasio kumbe nao wanatafuta connections wewe,wanabaki kukwambia thanks bro, dunia hii jaman [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Non alcohol zipo nyingi,hata maji yanatosha,kuna chupa ya maji hii ya Kilimanjaro inauzwa mpk bk5,kijiwe kikichangamka wanunulie pombe wanaokunywa japo hii inaitwa pata potea kwn unawezajikuta umekaa na popo na kununulia pombe watu wasio kumbe nao wanatafuta connections wewe,wanabaki kukwambia thanks bro, dunia hii jaman [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Kwakweli [emoji120][emoji120]
 
Kwa ufupi unakuta kijana kasoma chuo, kakaaa mtaani zaidi ya miaka tano (5) hana ajira, kijana huyuhuyu unamkuta kwa mangi ama kwenye baa za kawaida anafakamia kongagi ama K- vant kupunguza stress.

Sasa ngoja niwape siri ukitaka kufanikiwa mara moja moja tembeleeni hotel kubwa kubwa mfano ( sea cliff ama capetown) kule ukifika nunua bia yako hata moja (Heinekein ama Windhoek) zugazuga baadae jichanganye na wazee wanaofika maeneo hayo.

Trust me! Ukihudhuria maeneo hayo kwa wiki na ikatokea hujapata connection ya maana basi jua una mkosi mkubwa sana.

Nimemsaidia kijana miaka kadhaa ya nyuma na anahudumu katika serikali ya Mama Samia.

Sababu ya kuleta kisa hiki ni kwamba leo kanitumia milioni tano Cash kama shukrani.
Wewe Mzee wewe utatuua Kwa presha hapa,hebu Fanya Hivi hiyo Pesa uliyopata kama unafungua biashara naomba unitag na Mimi nipate japo Kwa kujishikiza mjini pagumu michongo inagoma aisee!
Anyway nipo seriously!
🤔🤔🤔🤔
 
Kwa ufupi unakuta kijana kasoma chuo, kakaaa mtaani zaidi ya miaka tano (5) hana ajira, kijana huyuhuyu unamkuta kwa mangi ama kwenye baa za kawaida anafakamia kongagi ama K- vant kupunguza stress.

Sasa ngoja niwape siri ukitaka kufanikiwa mara moja moja tembeleeni hotel kubwa kubwa mfano ( sea cliff ama capetown) kule ukifika nunua bia yako hata moja (Heinekein ama Windhoek) zugazuga baadae jichanganye na wazee wanaofika maeneo hayo.

Trust me! Ukihudhuria maeneo hayo kwa wiki na ikatokea hujapata connection ya maana basi jua una mkosi mkubwa sana.

Nimemsaidia kijana miaka kadhaa ya nyuma na anahudumu katika serikali ya Mama Samia.

Sababu ya kuleta kisa hiki ni kwamba leo kanitumia milioni tano Cash kama shukrani.
Wewe Mzee wewe utatuua Kwa presha hapa,hebu Fanya Hivi hiyo Pesa uliyopata kama unafungua biashara naomba unitag na Mimi nipate japo Kwa kujishikiza mjini pagumu michongo inagoma aisee!
Anyway nipo seriously!
🤔🤔🤔🤔
 
Nimelisema hapo uwe smart wa akili na mavazi hata kama hujaja na gari utaondoka utapata lift ya Range rover hadi kwenu, business card na laki ya matumizi ila utasikia neno please find me before monday…

Hapo jua umeula.
vijana tigo zenu kuweni makini nazo mtapoteza marinda soon

Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom