Vijana acheni kunywa bia kwenye vibanda umiza, connection zote za maisha zinapatikana katika mahotel makubwa hapa mjini

Vijana acheni kunywa bia kwenye vibanda umiza, connection zote za maisha zinapatikana katika mahotel makubwa hapa mjini

Pale niliingia mwaka flani niko form 5 kuna event ilikuwepo ya mwisho wa mwaka. Mle ndani mimi ndio nilikuwa mwembamba kuliko wote haijalishi umri wao, hata madogo walikuwa na vitambi. Nililipiwa laki ikiwa ndio kiingilio cha chini ila ikawa ndio party yangu ya gharama kubwa kuingia mpaka leo. Humo nikakutana na watu wakubwa kina Jokate, mabalozi na watu wengine ila nilikuwa hadhi ya chini. Ndio mwanzo wa kuwapenda Malaika Band wale waimbaji wanajua.

Nilikuwa mshamba kwa kuwa sikulipa tiketi mimi hivyo sikujua nastahili kupewa nini. Wakaleta bites kibao nikachukua nyingi nikijua ndio imeisha. Nikashangaa wengine wanaweka tudude tuwili tu basi, nikajisemea hawa wa kishua si huwa wanagusa kidogo afu kwanza wamekula kwao. Kushtuka wakaleta biriani na misosi mikali aisee nilijilaumu.

Tangu hapo huwa najilipua kwenda sehemu zinazoeleweka mara chache. Pale Serena nimeenda November, niliitwa nikafanye issue ila kwa masaa manne nilokaa pale sikumbuki kama mazingira yanaruhusu kumshobokea mtu. Niliambulia kunywa maji chupa ndogo ya 7000, kwanza vipimo vya joto pale langoni vilionesha mimi tu ndio nina joto kali ingawa niliruhusiwa.
Kwenye sherehe usifakamie mabagia kuna kuku mbeleni zile starter zisikutie wazim
 
Nimeshangaa sana kuona kitu kama hichi na hapa ndipo wajinga kwa jina la vijana wanaanza kupotea.
Kiufupi hakuna maisha rahisi na hakuna njia raisi kufikia mafanikio, utafika kwa kupigana tu kiume na sio kutegemea kutoka kwa kupitia mgongo wa mwengine.

Na kama wewe kwenu makapuku basi njia ni kuhangakaika, kupigika, kusota na kutambaa mpaka ufike na hakuna njia nyingine.

Nina huu msemo ambao ni wa kwangu mwenyewe
Kwamba: Hakuna kitu rahisi duniani, na vitu ambavyo unaona ni rahisi basi tambua vimehangaikiwa na kutolewa jasho vilevile hivyo ukitaka rahisi basi jua vina gharama kubwa.
 
Kwa ufupi unakuta kijana kasoma chuo, kakaaa mtaani zaidi ya miaka tano (5) hana ajira, kijana huyuhuyu unamkuta kwa mangi ama kwenye baa za kawaida anafakamia kongagi ama K- vant kupunguza stress.

Sasa ngoja niwape siri ukitaka kufanikiwa mara moja moja tembeleeni hotel kubwa kubwa mfano ( sea cliff ama capetown) kule ukifika nunua bia yako hata moja (Heinekein ama Windhoek) zugazuga baadae jichanganye na wazee wanaofika maeneo hayo.

Trust me! Ukihudhuria maeneo hayo kwa wiki na ikatokea hujapata connection ya maana basi jua una mkosi mkubwa sana.

Nimemsaidia kijana miaka kadhaa ya nyuma na anahudumu katika serikali ya Mama Samia.

Sababu ya kuleta kisa hiki ni kwamba leo kanitumia milioni tano Cash kama shukrani.
Hongera mjomba
Mimi nasubiri Ile connection!

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Inawezekana ikawa kweli, ila ni wangapi wamefanikiwa kwa njia hii kati ya wengi. Inawezekana njia hii imemsaidia mtu fulani ila ni bahati tu imetokea kwake ikajadiliwa kazi au mchongo.

Maana Sasa kwenye festival utajuaje huyu Ni manager, director au Ceo mahali Fulani ? au Wanakuaga na label ?
Kwahiyo wewe Ni kuzunguka festival nzima kuomba na kuongelea shida ya kazi , kwelii ? 🤣🤣

Yaani mtu azunguke Kwenye mashughuli ya starehe yote ya mjini ili abahatishe kukutana na managers, Ceo , directors hata uhakika kwamba watakuwepo haupo na Wala hawajui.
Labda uniambie zile events za proffessionals nitakuelewa.

Mambo mengine Ni bahati tu, unaweza kukutana na muujiza wako wa kazi hata barabarani. Sio basi mtu akifanikiwa kwa njia hii na wewe unaanza kuzunguka barabarani eti barabarani Kuna connections 😀😀

Duniani lilia bahati mambo Mazuri yatakufuata haijalishi eneo, usisahau pia kufanya bidii Yenye akili. Ukiwa tayari umejipanga kupokea muujiza utapokujia.
Hili jina la bright eyes unatakiwa ubadilishe..

Hakuna aliyesema utembee kila meza na kujitambulisha ovyo ovyo kwa watu.. Kuna mtu alikazia, unatakiwa uwe bright and smart..
 
Nimeshangaa sana kuona kitu kama hichi na hapa ndipo wajinga kwa jina la vijana wanaanza kupotea.
Kiufupi hakuna maisha rahisi na hakuna njia raisi kufikia mafanikio, utafika kwa kupigana tu kiume na sio kutegemea kutoka kwa kupitia mgongo wa mwengine.

Na kama wewe kwenu makapuku basi njia ni kuhangakaika, kupigika, kusota na kutambaa mpaka ufike na hakuna njia nyingine.

Nina huu msemo ambao ni wa kwangu mwenyewe
Kwamba: Hakuna kitu rahisi duniani, na vitu ambavyo unaona ni rahisi basi tambua vimehangaikiwa na kutolewa jasho vilevile hivyo ukitaka rahisi basi jua vina gharama kubwa.
You can't make it kama huna connection yeyote ile...

Dunia ya sasa ina ushindani wa kila aina. It's not that easy.
 
You can't make it kama huna connection yeyote ile...

Dunia ya sasa ina ushindani wa kila aina. It's not that easy.
Yeah you're right but in your personal perspective.

Umesema it's not that easy?
Well that's exactly my point, it's not that easy Because literally there's nothing easy.

Dunia ya sasa na sio ya sasa tu bali dunia ya siku zote.
Inahitaji watu makini wanaojitambua ambao wanajua wanachokifanya na wanachokitafuta.

Ukiweza hapo hutohitaji kumtafuta yoyote yule bali automatically watu ambao wana haiba na nature kama yako watatokea tu wenyewe kwenye safari ya maisha yako.
Lakini sio kwa kwenda kuwatafuta Bar au Hotelini, na bila shaka inajulikana maeneo hayo wanapatikana watu wa aina gani.
Na hata kama hicho kitu kipo basi itakuwa ni 1 in million sababu wazi inajulikana Bar au Hotelini ni sehemu yenye asili nini.

Well it's fine sababu utofauti ndio kitu kinachofanya binadamu awe binadamu.
 
Kwa ufupi unakuta kijana kasoma chuo, kakaaa mtaani zaidi ya miaka tano (5) hana ajira, kijana huyuhuyu unamkuta kwa mangi ama kwenye baa za kawaida anafakamia kongagi ama K- vant kupunguza stress.

Sasa ngoja niwape siri ukitaka kufanikiwa mara moja moja tembeleeni hotel kubwa kubwa mfano ( sea cliff ama capetown) kule ukifika nunua bia yako hata moja (Heinekein ama Windhoek) zugazuga baadae jichanganye na wazee wanaofika maeneo hayo.

Trust me! Ukihudhuria maeneo hayo kwa wiki na ikatokea hujapata connection ya maana basi jua una mkosi mkubwa sana.

Nimemsaidia kijana miaka kadhaa ya nyuma na anahudumu katika serikali ya Mama Samia.

Sababu ya kuleta kisa hiki ni kwamba leo kanitumia milioni tano Cash kama shukrani.
Hii njia niliwahi elezwa na Mzee mmoja,
 
Pale niliingia mwaka flani niko form 5 kuna event ilikuwepo ya mwisho wa mwaka. Mle ndani mimi ndio nilikuwa mwembamba kuliko wote haijalishi umri wao, hata madogo walikuwa na vitambi. Nililipiwa laki ikiwa ndio kiingilio cha chini ila ikawa ndio party yangu ya gharama kubwa kuingia mpaka leo. Humo nikakutana na watu wakubwa kina Jokate, mabalozi na watu wengine ila nilikuwa hadhi ya chini. Ndio mwanzo wa kuwapenda Malaika Band wale waimbaji wanajua.

Nilikuwa mshamba kwa kuwa sikulipa tiketi mimi hivyo sikujua nastahili kupewa nini. Wakaleta bites kibao nikachukua nyingi nikijua ndio imeisha. Nikashangaa wengine wanaweka tudude tuwili tu basi, nikajisemea hawa wa kishua si huwa wanagusa kidogo afu kwanza wamekula kwao. Kushtuka wakaleta biriani na misosi mikali aisee nilijilaumu.

Tangu hapo huwa najilipua kwenda sehemu zinazoeleweka mara chache. Pale Serena nimeenda November, niliitwa nikafanye issue ila kwa masaa manne nilokaa pale sikumbuki kama mazingira yanaruhusu kumshobokea mtu. Niliambulia kunywa maji chupa ndogo ya 7000, kwanza vipimo vya joto pale langoni vilionesha mimi tu ndio nina joto kali ingawa niliruhusiwa.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kwa ufupi unakuta kijana kasoma chuo, kakaaa mtaani zaidi ya miaka tano (5) hana ajira, kijana huyuhuyu unamkuta kwa mangi ama kwenye baa za kawaida anafakamia kongagi ama K- vant kupunguza stress.

Sasa ngoja niwape siri ukitaka kufanikiwa mara moja moja tembeleeni hotel kubwa kubwa mfano ( sea cliff ama capetown) kule ukifika nunua bia yako hata moja (Heinekein ama Windhoek) zugazuga baadae jichanganye na wazee wanaofika maeneo hayo.

Trust me! Ukihudhuria maeneo hayo kwa wiki na ikatokea hujapata connection ya maana basi jua una mkosi mkubwa sana.

Nimemsaidia kijana miaka kadhaa ya nyuma na anahudumu katika serikali ya Mama Samia.

Sababu ya kuleta kisa hiki ni kwamba leo kanitumia milioni tano Cash kama shukrani.
Una point hakika, ila umetutisha kuhusu windoeck au heineken happ sea cliff, but, overal point ni kujichanganya na watu/maeneo potential kukingana na level ya mahitaji.
 
Kwa kweli maisha sio rahisi kiasi hicho..Kuna Dada mmoja haya Mambo ya kusafiri alisafiri mpaka Chato kumzika jiwe,,kumbe behind the scenes Hilo halikuwa lengo
Huyo dada ni bonge la mafia
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Pale niliingia mwaka flani niko form 5 kuna event ilikuwepo ya mwisho wa mwaka. Mle ndani mimi ndio nilikuwa mwembamba kuliko wote haijalishi umri wao, hata madogo walikuwa na vitambi. Nililipiwa laki ikiwa ndio kiingilio cha chini ila ikawa ndio party yangu ya gharama kubwa kuingia mpaka leo. Humo nikakutana na watu wakubwa kina Jokate, mabalozi na watu wengine ila nilikuwa hadhi ya chini. Ndio mwanzo wa kuwapenda Malaika Band wale waimbaji wanajua.

Nilikuwa mshamba kwa kuwa sikulipa tiketi mimi hivyo sikujua nastahili kupewa nini. Wakaleta bites kibao nikachukua nyingi nikijua ndio imeisha. Nikashangaa wengine wanaweka tudude tuwili tu basi, nikajisemea hawa wa kishua si huwa wanagusa kidogo afu kwanza wamekula kwao. Kushtuka wakaleta biriani na misosi mikali aisee nilijilaumu.

Tangu hapo huwa najilipua kwenda sehemu zinazoeleweka mara chache. Pale Serena nimeenda November, niliitwa nikafanye issue ila kwa masaa manne nilokaa pale sikumbuki kama mazingira yanaruhusu kumshobokea mtu. Niliambulia kunywa maji chupa ndogo ya 7000, kwanza vipimo vya joto pale langoni vilionesha mimi tu ndio nina joto kali ingawa niliruhusiwa.
Mkuu pole sana kwa kufedheheka[emoji16]
 
Pale niliingia mwaka flani niko form 5 kuna event ilikuwepo ya mwisho wa mwaka. Mle ndani mimi ndio nilikuwa mwembamba kuliko wote haijalishi umri wao, hata madogo walikuwa na vitambi. Nililipiwa laki ikiwa ndio kiingilio cha chini ila ikawa ndio party yangu ya gharama kubwa kuingia mpaka leo. Humo nikakutana na watu wakubwa kina Jokate, mabalozi na watu wengine ila nilikuwa hadhi ya chini. Ndio mwanzo wa kuwapenda Malaika Band wale waimbaji wanajua.

Nilikuwa mshamba kwa kuwa sikulipa tiketi mimi hivyo sikujua nastahili kupewa nini. Wakaleta bites kibao nikachukua nyingi nikijua ndio imeisha. Nikashangaa wengine wanaweka tudude tuwili tu basi, nikajisemea hawa wa kishua si huwa wanagusa kidogo afu kwanza wamekula kwao. Kushtuka wakaleta biriani na misosi mikali aisee nilijilaumu.

Tangu hapo huwa najilipua kwenda sehemu zinazoeleweka mara chache. Pale Serena nimeenda November, niliitwa nikafanye issue ila kwa masaa manne nilokaa pale sikumbuki kama mazingira yanaruhusu kumshobokea mtu. Niliambulia kunywa maji chupa ndogo ya 7000, kwanza vipimo vya joto pale langoni vilionesha mimi tu ndio nina joto kali ingawa niliruhusiwa.
Vipimo vya joto vionesha Mimi tu ndo nina joto kali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
🤣🤣🤣🤣
Kuna mbongo mmoja alikuwa analilia humu JF anataka kurudi bongo anasema ulaya wazungu wabaguzi
eti kaiingia baa kaagiza pombe, halafu kawafata kwenye meza yao na kujiunga na kukaa, wazungu wote wakaamka na kumwachia meza🤣🤣🤣🤣
Walipoinuka waliacha bia mezani, nazigonga afu napita hivi
 
Sumaye alipewa taarifa ya kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu akiwa baa, na ukitaka jina la baa yenyewe nitakupatia.

Baa na sehemu nyingine za starehe kuna vibe fulani ya kujiachia, kama una ujasiri unaweza kabisa kufahamiana na watu wa maana.
 
Sumaye alipewa taarifa ya kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu akiwa baa, na ukitaka jina la baa yenyewe nitakupatia.

Baa na sehemu nyingine za starehe kuna vibe fulani ya kujiachia, kama una ujasiri unaweza kabisa kufahamiana na watu wa maana.
Baa gani mkuu?
 
Back
Top Bottom