Una Msongo wa mawazoUnafikiri wahenga walikosea kuwaita nyinyi uvccm misukule? Hawakukosea. Niambie ni kijana gani mwenye akili timamu anayeweza kuishabikia CCM! Imemfanyia nini mpaka aishabikie, zaidi tu ya kumuumiza na kumuondolea ndoto zake.
Kama ni hao wasanii wanao wabeba nyakati hizi ngumu mnazopitia, mnawalipa mamilioni ya shilingi. Sera zenu nyingi kuwahusu hao vijana ni za kwenye makaratasi tu.
Na je hawa?View attachment 1600654
One Love! One Heart!
Let's get together and feel all right
Hear the children cryin' (One Love!)
Hear the children cryin' (One Heart!)
Sayin': give thanks and praise to the Lord and I will feel all right
Sayin': let's get together and feel all right. Wo wo-wo wo-wo!
Umezungumza vyema kuwa utampa kura yako.Ikiwemo mm, lazma nimpe kura yangu JPM maana amefanya vitu ambavyo vinaonekana (tangible) na ana hubiri maendeleo zaidi siyo kama lissu ambae kila siku ana hubiri uhuru,haki na usawa kitu ambacho kina mipaka yake la lissu anataka kutudanganya kwamba hakina mipaka
Hii inaonesha kuwa hata vijana bado wanaimani na JPM regardless wanaitikadi ya chama gani
View attachment 1600640
Nani mwenye ajira hajaongezewa mshara wala kupanda daraja. Hao waliokudanganya wambie wakurudishie ubongo wako kabla ya 28Sema MATAGA siyo vijana. Kijana hana ajira na mwenye ajira hajaongezewa mshahara wala kupanda daraja kwa miaka mitano na 15% ya makato ya mkopo wa elimu ya juu inamuhusu badala ya ile 7% ya kwenye mkataba ongeza retention fee 6% kila mwaka.
Kijana aliyejiajiri umekutana na mazingira mabovu ya biashara baada ya Magufuli kuharibu sekta binafsi. Sasa kijana gani atakuwa na Imani na Magufuli zaidi ya MATAGA mnaovizia teuzi baada ya Magufuli kuiba kura maana kihalali hawezi kushinda.
Naona wewe hujui hata kusoma, . Narudia: nioneshe maendeleo yaliyofanywa na chama chako ndani ya chama. Nioneshe demokrasia ya chama chako ndani ya chama chako kisha urudi. Jifunze kuelewa mada kabla ya kujibuKwani wapinzani ndiyo wanaishikilia Hazina BOT wanakuonyesha maendeleo kupitia ukosoaji wao ,kazi ya upinzani ni kuikosoa Serikali na upinzani ukiingia ikulu unarekebisha mapungufu yote ya ccm na ukiwa na mapungufu ccm watawakosoa kipindi hicho wakiwa ni wapinzani
Wewe siyo mshamba, wewe ni mpumbavu ambaye unakiri kuwa unataka kumpa mtu ajira bila vipimo against anayepimikaTundu apimwe vipi kwani yupo ikulu? Acha kuja na mifano ya kishamba, nyinyi mmekaa ikulu miaka mitano tumewapima ni ufisadi mkubwa kuwatesa watu manyanyaso matupu kila mradi kuna wizi gharama kubwa miradi michache ina gharama kubwa utazani wanajenga bara zima la Africa
Na je hawa?
View attachment 1600654
One Love! One Heart!
Let's get together and feel all right
Hear the children cryin' (One Love!)
Hear the children cryin' (One Heart!)
Sayin': give thanks and praise to the Lord and I will feel all right
Sayin': let's get together and feel all right. Wo wo-wo wo-wo!
Heri mzee mwenye akili ya kitoto kuliko kijana mwenye akili ya kizee.
Naona hao vijana wana ulemavu wa akili, usoni wana onekana kama watoto wadogo lakini akili zao zimeganda
Naona ni misukule tu wana imani na mlevi wa konyagi ambaye anafikiria Mzee wa Mashoga atamletea utajiri.NI BUNDI PEKEE WANAIMANI NA JPM!!HATA NYOKA HAWANA IMANI NAE!!
View attachment 1601246
hii tunaitaje
Vijana wapi?Hii inaonesha kuwa hata vijana bado wanaimani na JPM regardless wanaitikadi ya chama gani
View attachment 1600640
Hiyo tip uliyokula itakutokea puAni kwa kuchagua atakaye endelea kushiba kutoka kwenye tax ya bibi yako(maana you are kula kulala) badala ya kichagua mjenga nchi ili upate tricle down effectMnajirekodi vijana Wa Lumumba mnaanza kujikomentia wenyewe AIBU
wanaomwamini ni wale ambao hawana qualification