Ni kwakuwa hujawahi pata pesa nyingi ngoja upate utajua ninachosemaSio kweli mzee kwa tunaojua biashara kuna kitu kinaitwa consistency huyo anayefanya hivi hajajua maana ya biashara ila sisi wenye long term plans hatujawahi kuyumbisha malengo malengo sijawahi pata hela nikafikiria kufanya biashara tofauti
Kanuni ya kukopa hakuna kula bila kurudisha rejesho 😁😁😁ukiwa muaminifu unakopeshwa hata mzigo kabisa muhimu uaminifu tu.Wahenga wanasemaga kukopa🤣raha kulipa Sijui ni matango🤣Sijui matangu anyways jokes
Sure! Mipango sio matumizi kabla hujapata pesa unakuwa na mipango madhubuti kabisa ila ukishazipata akili inawehuka na kufanya kitu kingine kabisaWahenga wanasemaga kukopa🤣raha kulipa Sijui ni matango🤣Sijui matangu anyways jokes
Tusiache kutiana...............Ni kwakuwa hujawahi pata pesa nyingi ngoja upate utajua ninachosema
NB pambana mkuu naimani utapata hitaji la moyo wako
☕ Yaani vupu from zero anataka duka la jumla. Maisha ni hatuaBiashara ina tabia ya kuanza kidogo kidgo na kukua ila hiyo ya kwako ya kupata mtaji mkubwa uanze juu ,kinyume na uwezo wako sijaelewa kabisa🤔
Biashara yoyote ni SALES (MAUZO) na sio CAPITAL (MTAJI). uza vizuri, mtaji utapata.Habari jf,
Kwa level niliyofikia kwenye biashara naweza sema bado few steps nifikie lengo, kichwa kinaniuma nawaza nitapata wapi mtaji.
Eneo nalofanyia biashara ni moja ya masoko makubwa na nalijua nje ndani maana nilishafanya kazi kwenye biashara za watu kama wawili tofauti, so wafanya biashara waeneo hilo nawajua vizuri . Now days nachofanya mara nyingi ni kuwajumlishia baadhi ya hawa wafanyabiashara bidhaa na kuuza reja reja kwa baadhi ya wateja hasa mtandaoni na wale wa kuunganishiwa na wauza maduka.
Nawaza nitapata wapi mtaji nichukue frame na nijaze mzigo shop na natargert zaidi biashara ya jumla kwa sababu wafanyabiashara wa hapa pia watakua wateja wangu.
Wakuu tupeane abcs
Itakuwa tabu sana kuupata maana hata jina la soko huwezi kulitaja.Habari jf,
Kwa level niliyofikia kwenye biashara naweza sema bado few steps nifikie lengo, kichwa kinaniuma nawaza nitapata wapi mtaji.
Eneo nalofanyia biashara ni moja ya masoko makubwa na nalijua nje ndani maana nilishafanya kazi kwenye biashara za watu kama wawili tofauti, so wafanya biashara waeneo hilo nawajua vizuri . Now days nachofanya mara nyingi ni kuwajumlishia baadhi ya hawa wafanyabiashara bidhaa na kuuza reja reja kwa baadhi ya wateja hasa mtandaoni na wale wa kuunganishiwa na wauza maduka.
Nawaza nitapata wapi mtaji nichukue frame na nijaze mzigo shop na natargert zaidi biashara ya jumla kwa sababu wafanyabiashara wa hapa pia watakua wateja wangu.
Wakuu tupeane abcs
Mtaji wa kupewa wengi wameanguka. .....wanalia chips na kuhonga mademu hawataki kuitwa mabahili...mpaka pale utakapojikusanya wa kwako kwa jasho lako ndio utaona thamani.Source ya mtaji ni wewe mwenyewe.
Labda hana collateralKama tayari una biashara na ina mzunguko wa kueleweka unaweza kupata mkopo kwenye Bank na kufanya marejesho yako kulingana na mzunguko wako mkuu.