Vijana changamoto mtaji

Vijana changamoto mtaji

Sio kweli mzee kwa tunaojua biashara kuna kitu kinaitwa consistency huyo anayefanya hivi hajajua maana ya biashara ila sisi wenye long term plans hatujawahi kuyumbisha malengo malengo sijawahi pata hela nikafikiria kufanya biashara tofauti
Ni kwakuwa hujawahi pata pesa nyingi ngoja upate utajua ninachosema

NB pambana mkuu naimani utapata hitaji la moyo wako
 
Wahenga wanasemaga kukopa🤣raha kulipa Sijui ni matango🤣Sijui matangu anyways jokes
Sure! Mipango sio matumizi kabla hujapata pesa unakuwa na mipango madhubuti kabisa ila ukishazipata akili inawehuka na kufanya kitu kingine kabisa

Vizuri ni kuanza na kidogo ila walau kiwe wastani sio kidogo sana halafu uweze kukipandisha hadi kiwe kikubwa kwa kuzishinda tamaa za maendeleo ya haraka
 
Habari jf,
Kwa level niliyofikia kwenye biashara naweza sema bado few steps nifikie lengo, kichwa kinaniuma nawaza nitapata wapi mtaji.

Eneo nalofanyia biashara ni moja ya masoko makubwa na nalijua nje ndani maana nilishafanya kazi kwenye biashara za watu kama wawili tofauti, so wafanya biashara waeneo hilo nawajua vizuri . Now days nachofanya mara nyingi ni kuwajumlishia baadhi ya hawa wafanyabiashara bidhaa na kuuza reja reja kwa baadhi ya wateja hasa mtandaoni na wale wa kuunganishiwa na wauza maduka.

Nawaza nitapata wapi mtaji nichukue frame na nijaze mzigo shop na natargert zaidi biashara ya jumla kwa sababu wafanyabiashara wa hapa pia watakua wateja wangu.

Wakuu tupeane abcs
Biashara yoyote ni SALES (MAUZO) na sio CAPITAL (MTAJI). uza vizuri, mtaji utapata.
 
Habari jf,
Kwa level niliyofikia kwenye biashara naweza sema bado few steps nifikie lengo, kichwa kinaniuma nawaza nitapata wapi mtaji.

Eneo nalofanyia biashara ni moja ya masoko makubwa na nalijua nje ndani maana nilishafanya kazi kwenye biashara za watu kama wawili tofauti, so wafanya biashara waeneo hilo nawajua vizuri . Now days nachofanya mara nyingi ni kuwajumlishia baadhi ya hawa wafanyabiashara bidhaa na kuuza reja reja kwa baadhi ya wateja hasa mtandaoni na wale wa kuunganishiwa na wauza maduka.

Nawaza nitapata wapi mtaji nichukue frame na nijaze mzigo shop na natargert zaidi biashara ya jumla kwa sababu wafanyabiashara wa hapa pia watakua wateja wangu.

Wakuu tupeane abcs
Itakuwa tabu sana kuupata maana hata jina la soko huwezi kulitaja.
 
Back
Top Bottom