Vijana kama hawana msaada kwa maendeleo ya taifa, anasema Jaji Warioba alipewa uwaziri mkuu kwasababu alikuwa chawa wa Nyerere hivyo asikosoe uchaguzi

Sasa huyu jamaa anaeropoka kuhusu Warioba hapa ataelewaje wakati wakati huo hata mama yake alikuwa hajui kuoga akavutia wanaume ili atunge mimba yake?
Angetaka kujua angejua tu.

Warioba kaongea kwenye uzinduzi wa kitabu cha Sokoine. Huwa anapenda sana kukumbushia historia.

Na kwenye vitabu vya Nyerere vile vitatu wameandika Warioba alivyosimamia sheria mpaka kumkatalia Nyerere mambo yake aliyoyataka nje ya sheria.

Tatizo Yona hataki kusoma wala kusikia, ana ajenda yake.
 
Hii ni hatari kutokuwa na heshima kwa wazee wetu waoheshimika.
 
Mzee ana madini, anazeeka na madini yake
 

..Mama anapenda kumfuatilia Bwana Yona.

..hata katika hotuba yake kwa Polisi Mama alifanya reference kuhusu matamko ya Yona.

..kwa maoni yangu Yona ni zao la uongozi mbovu wa juu kabisa ktk taifa letu.
 
..Mama anapenda kumfuatilia Bwana Yona.

..hata katika hotuba yake kwa Polisi Mama alifanya reference kuhusu matamko ya Yona.

..kwa maoni yangu Yona ni zao la uongozi mbovu wa juu kabisa ktk taifa letu.
Hao chawa ama wanajipendekeza ama wanafuata maagizo kutoka juu.
 
Inaonyesha Maoni yake yanaonyesha yeye ndio chawa sasa🤣🤣🤣...

Kama uchawa nikuteuliwa basi Nyerere alikuwa anatoa cheo kwa misingi ya kijana mwenye nidhamu.
 
Eti unaweza kuta jitu kama hili nalo lina familia ( lina mke na watoto)
 
Umeiweka kwa usahihi kabisa. Tunasubiri fainali mwakani. Patakuwa patamu hapo. Kuna timu zingine zitaogopa kuingia ulingoni. Tunamshauri Mh. Freeman Mbowe amushawishi Jaji Warioba awe mgombea wao kwenye kinyang'anyio cha nafasi ya uraisi kama alivyofanya kwa Lowasa. Tunajua Tundu Lissu atanuna kama alivyonuna Dr Willbroad Slaa kipindi kile cha Lowasa. Akifanya hivyo chadema itarejesha nguvu zake kwa kupata wabunge wengi cha 25% na ruzuku kuongezeka. Achaneni na Tundu Lissu atakiua chama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…