Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #61
Rais Samia ndio chaguo la wanaVijana wepi? Hawa chawa wenye kujipendekeza kwake huku anaongoza nchi vibaya? Ni nyie wale mlikua mnashangilia mkataba wa ovyo wa bandari? Mkichukua fomu wanamapibduzi ccm watamchukulia mtu mwingine. Hamtaki tunakwenda na mpinzani.
Naandika yale yanayosenwa na watanzania huku mitaani ambao wanaendelea kuipigia magoti CCM ili ifanye maamuzi ya haraka kuwapelekea Rais samia uchaguzi ujao,maana nje na hapo hawatawaelewa CCM.Ok! Nimekupata, sio mawazo yako wapo wanaokutuma. Hapo umesema kweli👏👏
Nyumbu wale wawili waliokaliana uchi wakakuleta duniani bwege weweAcha matusi ewe nyumbu usiyejitambua.
Acha matusi wewe.matusi siyo sifa wala ufahari bali unajidhalilisha mwenyewe tu.hata hivyo nakusamehe bure tu maana naona akili yako ilishaharibika muda mrefu.Nyumbu wale wawili waliokaliana uchi wakakuleta duniani bwege wewe
Huna akili,huna marinda.Acha matusi wewe.matusi siyo sifa wala ufahari bali unajidhalilisha mwenyewe tu.hata hivyo nakusamehe bure tu maana naona akili yako ilishaharibika muda mrefu.
Hivi mnatumiaga takwimu Zipi kujumuisha watu..Rais Samia Ndiye Rais wa watanzania mpaka 2030.ndio chaguo la watanzania,ndio kiu ya mamilioni ya watanzania na ndiye anayeungwa mkono na mamilioni ya watanzania na ndiye aliyeshinda katika mioyo ya vijana walio wengi hapa nchini,ambao sasa wameamua kumchukulia Fomu ya Urais uchaguzi ujao ili kuonyesha upendo wao kwake .
Kuna mawili, ama kila kukicha unawaza uchawa au akili yako haina uwezo wa kupambanua. Vituo vya afya na zahanati nyingi hazina dawa na watumishi wa kutosha, shule wanafunzi ni wengi na hawaendani na idadi ya walimu, madawati na vyumba vya madarasa, uko kwenye kilimo sehemu kubwa ya wakulima wanategemea jembe la mkono na ng'ombe na bado chakula hakitoshelezi mbali na kuwaumiza wakulima kutokuuza mazao yao kwenye soko la nchi jirani kunakopatikana bei nzuri. Wanafunzi wanaokosa mikopo wa Elimu ya juu wameongezeka, idadi ya vijana wasio kuwa na ajira wanaongezeka.......Wewe bila shaka siyo mtanzania maana mtanzania anaelewa kazi kubwa na ya mafanikio iliyofanywa na Rais samia ndani ya muda mfupi wa uongozi wake.Ni Rais samia ambaye imeinua Secta ya kilimo iliyo uti wa mgongo wa Taifa letu kwa kuwekeza mabillioni ya pesa.alianza kwa kutoa Ruzuku ya billion mia moja hamsini,lakini pia amepandisha bajeti kufikia Billion mia tisa sabini.hapo sijazungumzia uwekezaji mkubwa kupitia BBT.Rais samia amefanya mapinduzi makubwa sana katika Secta ya Elimu na afya.mfano kwa sasa bajeti kwa mikopo ya elimu ya juu imefikia zaidi ya bilioni mia saba kutoka ile ya mwaka jana Billion 654,ukienda katika afya unakuta amejenga zahanati ,vituo vya afya,hospitali za wilaya, mikoa mpaka kanda.ametoa pia maelfu ya ajira kwa vijana waliokuwa wamekata tamaa kabisa
Nakusamehe bure tu maana najuwa wewe ni mgonjwa wa akili kwa hiyo inabidi nikuchukulie hivyo hivyo na maradhi yako ya akili mpaka utakapopona kama utaacha bangi unazovuta bila kipimo wala kikomoHuna akili,huna marinda.
Hawajatumwa na mtu bali watafanya hayo kwa hiyari yao na upendo wao kwa Rais samia kutokana na uchapa kazi wake uliyogusa maisha yaoWametumwa Siyo Bure
Dunia kwa sasa na mambo yote yapo kiganjani pako.Hivi mnatumiaga takwimu Zipi kujumuisha watu..
"Mamilion ya Watanzania" "Vijana walio wengi"...
Yaani huwa mnanikera sana
Si kosa lako, ukikuwa na kupata akili utajilaumu kwa kazi hii ya uchawa unayoifanya. Wewe kiakili bado mdogo na unafikiri ili kufanya siasa ni lazima kujipendekeza.Acha ujima ndugu yangu.Dunia ni kama kijiji kwa sasa. Rais samia ni mama wa Vitendo na kutekeleza mipango ya maendeleo muda wote na siyo kulalamika lalamika tu.ndio maana kwa uchapa kazi wake Taifa limepiga hatua kubwa sana za kimaendeleo katika kila Secta.
Mimi sijipendekezi bali naongea ukweli tu.Si kosa lako, ukikuwa na kupata akili utajilaumu kwa kazi hii ya uchawa unayoifanya. Wewe kiakili bado mdogo na unafikiri ili kufanya siasa ni lazima kujipendekeza.
Ndo uniaambia sources ya Taarifa yako kwa sababu Dunia ipo kiganjani ndyo..Dunia kwa sasa na mambo yote yapo kiganjani pako.
Kwa nini waliiba uchaguzi mazima?Hakuna mtu yeyote hapa nchini kutoka chama chochote kile anayeweza kumshinda mgombea wa CCM Katika nafasi ya Urais.hii Ni kwa kuwa Watanzania wanafahamu ya kuwa ili Taifa liwe na amani na salama ni lazima nchi iwe mikononi mwa CCM.hii ndio sababu kila uchaguzi ukifika watu humiminika katika vituo vya kupigia kura kwa ajili ya kuipigia kura CCM kura za ndio.