Pre GE2025 Vijana kumchukulia Fomu ya Urais Rais Samia 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Vijana wapumbavu na vichaa pekee ndiyo wanaweza. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee kabisa halifai kuendelea kuwa sehemu ya nchi yetu
 
Ujinga wenu tuu, huyu Samia kanunua tickets 30000 Leo kwa hao uvccm, leo atashindwa nini kuwapa hela wakamchukulie fomu?
Kuwa na akili we mshamba.
 
Hiyo "mpaka 2030" mmehakiki kwa atoaye uhai kuwa atakuwepo!!??
Kwani ukiandika kuwa atatetea kiti (akiwa hai) 2025 utakuwa umekosea!!??
Jifunzeni kuweka akiba ya maneno.
 
Mama yetu tunampenda sana tena tunajivunia kuona hata wanawake wanajaribu kuvaaa viatu vyetu na wakawakilisha vyema.Ila kwa mm namuomba sana asigombee apumzike mama yetu aache aje mwingine maana nchi hii kuna watu wanataka kuifanya kama mali ya baba yao sasa akipatikana mbishi mmoja awatapishe hawa wezi wa kodi zetu.
 
Ila Luca unaboa sahivi, mxxxxiiiiieeeew.
Tutolee uchuro wako hapa, vijana wa ukoo wenu labda.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huu mwiba huwa siuelewi mimi,sizani kama ni liziki,sio kwa uchawa huo[emoji3][emoji3]
 
Hiyo "mpaka 2030" mmehakiki kwa atoaye uhai kuwa atakuwepo!!??
Kwani ukiandika kuwa atatetea kiti (akiwa hai) 2025 utakuwa umekosea!!??
Jifunzeni kuweka akiba ya maneno.
Rais samia ni mpango wa Mungu Mwenyewe na ndiye anayeendelea kumlinda, kumpigania na kumtetea wakati wote.ndiye anayeendelea kumpatia afya njema na ndiye kwa uweza wake atampatia uhai na afya njema ya kuendelea kulitumikia Taifa letu mpaka 2030.
 
Mmeshaongea na Mungu kwamba mama ataiona kesho?

Uchawa unazidi mpaka mnakuwa kama makahaba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…