Vijana kuweni makini na rangi za nguo mnazovaa, nyingine zina maana mbaya sana

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735

Hizi rangi zimevamiwa sana na vijana wa kitanzania tena bila hata kujua maana yake.
Hizo ni rangi zinazounga mkono jamii ya mapenzi ya jinsia moja
lesbian, gay, bisexual, transgender, intersex, queer/questioning, asexual. (LGTBQ)
nilianza kuona hizi rangi lakini sikuelewa maana yake. Nikajaribu kuuliza nikaambiwa lakini sikuamini.



Nilikuja kuthibitisha nilipoona kwenye EURO 2020 hapo ndio nikafanya uchunguzi zaidi na kupata jibu. Mtaani watu wanavaa kama Kawaida ila rangi hivi ukivalia ULAYA NA MAREKANI basi watajua ni mwanachama mwenzao au unaunga mkono vitendo ambavyo havijulikani kwa Mungu.
 
Zinaitwa rainbow colors.. Na mkakati ni kuleta kitu kinachoitwa rainbow nation na baadae rainbow world
 
Nguvu kubwa mno ipo kwenye mambo hayo, taratibu tu mtaanza kuona ya kawaida tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…