Vijana kuweni makini na rangi za nguo mnazovaa, nyingine zina maana mbaya sana

Vijana kuweni makini na rangi za nguo mnazovaa, nyingine zina maana mbaya sana

Bora ya huyu mwaya👇
a213cbbc674d4f05930f64ab760c0184.jpg
 
Mimi huwa na vaa nguo cha msingi imenitoa sina muda wa kuchunguza maana ya rangi. Sijui rangi hii inamaanisha nini namwachia mbunifu wa rangi.
 
Kuna wanaovaa nguo za ndani za rangi hizo huku nje wakipigilia rangi za kawaida tu na wenye tutawatambuaje mleta mada
 
View attachment 1890476
Hizi rangi zimevamiwa sana na vijana wa kitanzania tena bila hata kujua maana yake.
Hizo ni rangi zinazounga mkono jamii ya mapenzi ya jinsia moja
lesbian, gay, bisexual, transgender, intersex, queer/questioning, asexual. (LGTBQ)
nilianza kuona hizi rangi lakini sikuelewa maana yake. Nikajaribu kuuliza nikaambiwa lakini sikuamini.
View attachment 1890489
View attachment 1890490

Nilikuja kuthibitisha nilipoona kwenye EURO 2020 hapo ndio nikafanya uchunguzi zaidi na kupata jibu. Mtaani watu wanavaa kama Kawaida ila rangi hivi ukivalia ULAYA NA MAREKANI basi watajua ni mwanachama mwenzao au unaunga mkono vitendo ambavyo havijulikani kwa Mungu.
Television moja inaitwa "WACHAFU BABY" in hizo rangi za chama cha MASHOGA.
 
Mwaka jana nikajisemea sishabikii tena EPL nilivyoona wanashabikia huo usenge kuanzia kwa manahodha kuvaa vitambaa vyenye rangi husika mpaka matangazo ya pembeni ya uwanja.
Mkuu hii niliona kwenye Euro 2020 mpaka Alianz Arena waliweka mitaa ya rangi hizo kumbe ilikuwa ni maadhimisho ya mashoga na wasagaji kila mwaka. Inasikitisha sana.
 
Mimi huwa na vaa nguo cha msingi imenitoa sina muda wa kuchunguza maana ya rangi. Sijui rangi hii inamaanisha nini namwachia mbunifu wa rangi.
Ukienda nchi za wenzetu unaweza kushikwa tako sasa,utasemaje?
 
Back
Top Bottom