Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo maana mbaya anamaanisha mimi niliyevaa au anayeona? mbona mnataka kufanya maisha magumu!!!!!Hizi rangi zimevamiwa sana na vijana wa kitanzania tena bila hata kujua maana yake.
Hizo ni rangi zinazounga mkono jamii ya mapenzi ya jinsia moja
Yani maseng*# machache ndio yamebadili rangi za rainbow kuwa rangi za kiseng*###
duu Evelyn Salt JLW lirudiMaseng*# sana maneeenah
Kabisa mkuu haya mangese yanarasimisha hizi rangi kua zao. Nyambaf tuchukue rangi zetu kwa hiyo rainbow ni yao sasa!??Yani maseng*# machache ndio yamebadili rangi za rainbow kuwa rangi za kiseng*###
Kenge kabisa hao....si ndio hapo, yaani hizo rangi ni za kwenye upinde wa mvua. Wao waseme zao… khaaaa
Television moja inaitwa "WACHAFU BABY" in hizo rangi za chama cha MASHOGA.View attachment 1890476
Hizi rangi zimevamiwa sana na vijana wa kitanzania tena bila hata kujua maana yake.
Hizo ni rangi zinazounga mkono jamii ya mapenzi ya jinsia moja
lesbian, gay, bisexual, transgender, intersex, queer/questioning, asexual. (LGTBQ)
nilianza kuona hizi rangi lakini sikuelewa maana yake. Nikajaribu kuuliza nikaambiwa lakini sikuamini.
View attachment 1890489
View attachment 1890490
Nilikuja kuthibitisha nilipoona kwenye EURO 2020 hapo ndio nikafanya uchunguzi zaidi na kupata jibu. Mtaani watu wanavaa kama Kawaida ila rangi hivi ukivalia ULAYA NA MAREKANI basi watajua ni mwanachama mwenzao au unaunga mkono vitendo ambavyo havijulikani kwa Mungu.
Mkuu hii niliona kwenye Euro 2020 mpaka Alianz Arena waliweka mitaa ya rangi hizo kumbe ilikuwa ni maadhimisho ya mashoga na wasagaji kila mwaka. Inasikitisha sana.Mwaka jana nikajisemea sishabikii tena EPL nilivyoona wanashabikia huo usenge kuanzia kwa manahodha kuvaa vitambaa vyenye rangi husika mpaka matangazo ya pembeni ya uwanja.
BlueNdo yaleyale ya Pink ni rangi ya kike, ya kiume Ni ipi?