Vijana Kuweni na Busara hata Kidogo

Shida unataka busara kwenye pesa za watu.Nahisi kama busara zingetumika kwenye teknolojia leo usingekuwa kwenye JF wala internet na gari ya passo.
 
Nikweli kabisa familiar, laana zingine ni za kujitakia, ukicheki kwa maisha yetu ya Kitanzania Mzee wa kimaskini kufika umri wa miaka 70 au 80 akiwa na afya ningumu sana usikute Mzee wawatu alikuwa anaumwa daaah.
 
Hamna laana,ingekuwa hivyo kila mahali kungekuwa balaa maana hakuna mtu ambae hajawai kukorofishwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…