inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Mwanangu wa kumzaa alishanitukana humu,halafu mchana wakati wa kula,anawahi kidali cha kuku nlienunuaHata humu jf, vijana wa gen Z wanatoa matusi hadi kwa wazee wao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanangu wa kumzaa alishanitukana humu,halafu mchana wakati wa kula,anawahi kidali cha kuku nlienunuaHata humu jf, vijana wa gen Z wanatoa matusi hadi kwa wazee wao.
Masuala ya imani tuSio vema kutukana au kumfokea ama kumjibu mtu mzima Kwa lugha mbovu ni jambo lisilo na heshima
NB: sijawah amini kwenye laana et binadam anaacha laana Kwa mtu labda mnipe mfano wa mtu aliyepata laana Kwa kufokea watu
Hapo nimekuelewaMasuala ya imani tu
Hahaha, hatuendi nao kimabavu mkuu. Kweli watatupiga mitama, dawa yao ni kuhakikisha kibunda kimekaa vizuri mda wote. Na vinakuwa na heshima ya kinafiki sana wakijua yule "faza" yupo njema.Nimekupata sasa. Nawaona huku mitaani mnaenda nao idara zote. Ila mkijichanganya ndio mnapigwa mitama na matusi juu.
mbona kuna wazee washkaji tunatisha nao tu mitaani?Wanaheshimu vitu kuliko mtu. So sad.
Etequite
🤣🤣🤣 Kwa vijana kuwa na heshima ni mambo ya kizeeWahenga na vijana.
Ndio madam ahsante kwa masahihisho hata sikuzingatia nilivocoment nikaondokaUlitaka kuandika neno hili etiquette au?
Pole sanaKama mimi natukwana na vijana wadogo kila inapoitwa leo ,😊😊
Pole sanaKama mimi natukwana na vijana wadogo kila inapoitwa leo ,😊😊